Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
mh!..hizi zingine za kuchongwa, simu za jamaa ziko configured vizuri sana conversation zote za kandokando zinaingia flash, au siku hiyo alijisahau? eh, ngoja nijiondoe zangu mie nilikuwa napita tu!
aisee....hizi intelijens mnapataga wapi..!
we christine muda huo mi nasutwa na dira langu linapepea utansaidia ha ha ha
Yesuu ruwa!....... So kwamba jamaa ni mume wa mtu na picha za mkewe zilirushwa ni uongo?
ishakula kwake hyooo
jumba bovu nani akubali..?!!
wakishaharibu wanajifanya wapendwa...!!
kilichomsibu muheshmiwa ndo hicho na walopeleka umbea ni waheshmiwa wenzie....ukiamini poa usipoamini poa
hapo chacha wakati wa kuponda raha na kula ujana hawajui kama mungu yupo
ajirekebishe tu kama anataka ndoa amaanishe kuolewa
na aache kuvua vua kyupi kwa watu
we unafikiri kuolewa ni kutovua chupi? watu wanabana miguu na hawaolewi, umri unakwenda wanaanza kutafuta mwanamume hata wa kumzalisha haonekani, mwingine anaachia miguu kwa raha zake na kila mwanamume anataka kutangaza ndoa!
haya mkuu, mi nilikuwa napita tu.
hapo chacha wakati wa kuponda raha na kula ujana hawajui kama mungu yupo
ajirekebishe tu kama anataka ndoa amaanishe kuolewa
na aache kuvua vua kyupi kwa watu
ataishia kucheza kwaito na kidaka maua tu kwa ndoa za wenzao
ale maisha tu na kupigwa pmb kisela ndoa atemane nayo....
ale maisha tu na kupigwa pmb kisela ndoa atemane nayo....
Why....????
aah wapi wachungaji watamtafuna tafuna tu basi....ataolewa maana asa hv mpendwa
kilichomsibu muheshmiwa ndo hicho na walopeleka umbea ni waheshmiwa wenzie....ukiamini poa usipoamini poa