Vicky Kamata amtungia wimbo mchumba wake

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Mbunge wa viti maalum Geita kupitia CCM, victoria kamata ametunga wimbo maalum uliobeba jina la " Nafsi ya mtu ni Kichaka" ambao ni kigongo tosha kwa zilipendwa wake charles Gadner ambae anadau kumbe ni laghai.

" huu wimbo ni mahsusi kabisa, unaweza kujiona upo na mtu kimapenzi kumbe anakuchora tu yaanu ni mashaka makubwa na ndio maana nikasema nafsi ya mtu ni kichaka, nikimaanisha sio kila mtu ni ni mtu," Alisema kamata.

 
Huyo hana jipya ajue mwanaume haolewi mwanaume anaoa,kma vp atafute mdananda kma petit au martin kadinda awafuge
 
Mpaka amteuliwa ubunge viti maalumu hayajui hayo!basi anauelewa mdogo sana!
 
ukiona hivyo....hata hiyo mimba wanayodai anayo si ya jamaa....ulikuwa mpango wa kumbambikia
 
jamani msimseme inyo VICK ni jambo la kumhurumia ukiusikia huo wimbo kweli unaweza toa machozi,,,,after all nani msafi kila mtu ni mchafu tu sema vicky kwa kuwa ni mtu maarufu ndo imekuwa NONGWA....tukianza kuwachambua hata viongozi wenu hapa nani atapona......mumuache ara miaka 800 JANAUME TAPELI BASI NA LILAANIWE!
 
Hajaanza kutunga nyimbo za CCM bado? 2015 ishafika.

Mkumbusheni
 
jamaa noma,amempiga sound ya kumwoa mbunge mzima,alipokula katambaa zake
 
jamaa noma,amempiga sound ya kumwoa mbunge mzima,alipokula katambaa zake

Nasikia alikomba vimilioni vya BMK akasepa hata hivyo watoto watatu unalilia ndoa! Kaa na ubunge wa vitanda maalum ukuliwaze hadi vifutwe 2015 tuone wanawake na maendeleooooo
 

word! Well well
 
Vicky huku kwenye Ndoa hakuna Jipya ! Mungu amekujaaliwa Watoto hapo ulipo Bora uishie peke yako ni Mastress Matupu , Walume wengi wa Kibongo Hovyooooo sana ! Watu wanaishi tu kwa status! Basiiii we hushangai wake wengi wa watu wanatafunwa huko Nje ! Ujue Ndani Moto hizo Korodani unazionea kwenye suruali wanaonyeshwa wengineeee Kutwa mnashindana na Michepuko ! Mpaka Ndude zao zinakonda wakati Mtu kakuoa ikiwa nene ya kukutosheleza :behindsofa:
 

poleni sana wenye ndoa chungu....ila msigeneralize nyingine asali tupu.
 
Yale yale ya Jay dee ndo shida ya kuoa wanawake wanamziki... mkikorofishana kidogo tu unaimbwa
 
poleni sana wenye ndoa chungu....ila msigeneralize nyingine asali tupu.

mwambie huyoo aliolewa kaolewa tu ndoa kbngo bongo ni ktu kngne raha sa na kudema till death do us apart makwazo ht km yapo ila km uliolewa afadhali umwtoa gundu japo hakuna kaburi la mjane
 
poleni sana wenye ndoa chungu....ila msigeneralize nyingine asali tupu.

Shoga sina Ndoa chungu ila nyakati kama hizi tunapaswa kumpa Moyo Mwanamke Mwenzetu ! Si dhambi kutoolewa na wala si Ujanja Kuolewa na si Ubingwa kuwa na Ndoa Asali na si Ubwege kuwa na Ndoa Ngumu ....Ni Maisha tu
 

Uwiiiiii....
 
Shoga sina Ndoa chungu ila nyakati kama hizi tunapaswa kumpa Moyo Mwanamke Mwenzetu ! Si dhambi kutoolewa na wala si Ujanja Kuolewa na si Ubingwa kuwa na Ndoa Asali na si Ubwege kuwa na Ndoa Ngumu ....Ni Maisha tu

Kula like mkuu,
GPA yako ktk ushauri iko juu.
 
Shoga sina Ndoa chungu ila nyakati kama hizi tunapaswa kumpa Moyo Mwanamke Mwenzetu ! Si dhambi kutoolewa na wala si Ujanja Kuolewa na si Ubingwa kuwa na Ndoa Asali na si Ubwege kuwa na Ndoa Ngumu ....Ni Maisha tu

Umemaliza kila kitu mkuu, kula like.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…