Shoga sina Ndoa chungu ila nyakati kama hizi tunapaswa kumpa Moyo Mwanamke Mwenzetu ! Si dhambi kutoolewa na wala si Ujanja Kuolewa na si Ubingwa kuwa na Ndoa Asali na si Ubwege kuwa na Ndoa Ngumu ....Ni Maisha tu
Vicky huku kwenye Ndoa hakuna Jipya ! Mungu amekujaaliwa Watoto hapo ulipo Bora uishie peke yako ni Mastress Matupu , Walume wengi wa Kibongo Hovyooooo sana ! Watu wanaishi tu kwa status! Basiiii we hushangai wake wengi wa watu wanatafunwa huko Nje ! Ujue Ndani Moto hizo Korodani unazionea kwenye suruali wanaonyeshwa wengineeee Kutwa mnashindana na Michepuko ! Mpaka Ndude zao zinakonda wakati Mtu kakuoa ikiwa nene ya kukutosheleza :behindsofa:
umalaya umemponza
Vicky huku kwenye Ndoa hakuna Jipya ! Mungu amekujaaliwa Watoto hapo ulipo Bora uishie peke yako ni Mastress Matupu , Walume wengi wa Kibongo Hovyooooo sana ! Watu wanaishi tu kwa status! Basiiii we hushangai wake wengi wa watu wanatafunwa huko Nje ! Ujue Ndani Moto hizo Korodani unazionea kwenye suruali wanaonyeshwa wengineeee Kutwa mnashindana na Michepuko ! Mpaka Ndude zao zinakonda wakati Mtu kakuoa ikiwa nene ya kukutosheleza :behindsofa:
Na huyu vicky ni malaya kweli kweli...
jamani msimseme inyo VICK ni jambo la kumhurumia ukiusikia huo wimbo kweli unaweza toa machozi,,,,after all nani msafi kila mtu ni mchafu tu sema vicky kwa kuwa ni mtu maarufu ndo imekuwa NONGWA....tukianza kuwachambua hata viongozi wenu hapa nani atapona......mumuache ara miaka 800 JANAUME TAPELI BASI NA LILAANIWE!
Kula like mkuu,
GPA yako ktk ushauri iko juu.
baada ya ndoa yake kuharishwa ghafla siku mbili kabla ya harusi, Mbunge wa viti maalum(ccm) Mh vicky kamata ,,ametoa wimbo wake mpya kuwatumia ujumbe wale wote walioshangalia ndoa yake kuhairishwa
akizungumza na redio clouds, Mh vicky amesema kuwa ameamua kutunga wimbo kuwapa ujumbe mabinti wenzake ambao hawajaolewa
Akijibu swali la mtangazaji kuhusu mipango yake ya badaye kuhusu ndoa, Mh amesema kwa sasa wale waliokuwa wanamipango ya kumchumbia wampe muda kidogo ili alee familie yake na kusimamia foundation yake.
My take:vijana tujitokeze tukamuondolee aibu mh kwani amechanganyikiwa sana,
Af yule binti ana mvuto sana...baada ya ndoa yake kuharishwa ghafla siku mbili kabla ya harusi, Mbunge wa viti maalum(ccm) Mh vicky kamata ,,ametoa wimbo wake mpya kuwatumia ujumbe wale wote walioshangalia ndoa yake kuhairishwa
akizungumza na redio clouds, Mh vicky amesema kuwa ameamua kutunga wimbo kuwapa ujumbe mabinti wenzake ambao hawajaolewa
Akijibu swali la mtangazaji kuhusu mipango yake ya badaye kuhusu ndoa, Mh amesema kwa sasa wale waliokuwa wanamipango ya kumchumbia wampe muda kidogo ili alee familie yake na kusimamia foundation yake.
My take:vijana tujitokeze tukamuondolee aibu mh kwani amechanganyikiwa sana,
baada ya ndoa yake kuharishwa ghafla siku mbili kabla ya harusi, Mbunge wa viti maalum(ccm) Mh vicky kamata ,,ametoa wimbo wake mpya kuwatumia ujumbe wale wote walioshangalia ndoa yake kuhairishwa
akizungumza na redio clouds, Mh vicky amesema kuwa ameamua kutunga wimbo kuwapa ujumbe mabinti wenzake ambao hawajaolewa
Akijibu swali la mtangazaji kuhusu mipango yake ya badaye kuhusu ndoa, Mh amesema kwa sasa wale waliokuwa wanamipango ya kumchumbia wampe muda kidogo ili alee familie yake na kusimamia foundation yake.
My take:vijana tujitokeze tukamuondolee aibu mh kwani amechanganyikiwa sana,