Vicky Kamata amtungia wimbo mchumba wake

Shoga sina Ndoa chungu ila nyakati kama hizi tunapaswa kumpa Moyo Mwanamke Mwenzetu ! Si dhambi kutoolewa na wala si Ujanja Kuolewa na si Ubingwa kuwa na Ndoa Asali na si Ubwege kuwa na Ndoa Ngumu ....Ni Maisha tu

Rejea mafundisho "Mwanamke mwenye busara huijenga nyumba yake na mwanamke --------...."wkt mwingine ni ubwege kuwa na ndoa ngumu!
 

Inakonda vp mdau, umenichekesha sana
 
Hapa ndiyo uone kuwa wabunge wa CCM ni majanga. Huu wimbo ilibidi ajitungia yeye mwenyewe kwani naye ni bingwa wa kuliza wanawake wenzake kwa kutembea na waume zao huku akijuwa. Huyu mbunge ni fuska wa siku nyingi na ni home wrecker....#AchomweMoto !
 

Dada umesema mno ukweli wa ndoa nyingi za kileo. Huwa ninawahurumia sana mabinti nilio nao ofisini walio na ndoa kwa asilimia kubwa hawana raha. Uaminifu ulisafiri na kurudi haijulikani.
 
Na huyu vicky ni malaya kweli kweli...

Tena yeye anawinda waume za wstu. Ameleta mateso sana kwenye nyumba nyingi. Mateso na malipo hapa hapa duniani. Prostitute mkubwa huyu. Aendelee tu kutotoa watoto kila mmoja na baba yake.
 

We jinsia gani?
 
baada ya ndoa yake kuharishwa ghafla siku mbili kabla ya harusi, Mbunge wa viti maalum(ccm) Mh vicky kamata ,,ametoa wimbo wake mpya kuwatumia ujumbe wale wote walioshangalia ndoa yake kuhairishwa

akizungumza na redio clouds, Mh vicky amesema kuwa ameamua kutunga wimbo kuwapa ujumbe mabinti wenzake ambao hawajaolewa
Akijibu swali la mtangazaji kuhusu mipango yake ya badaye kuhusu ndoa, Mh amesema kwa sasa wale waliokuwa wanamipango ya kumchumbia wampe muda kidogo ili alee familie yake na kusimamia foundation yake.


My take:vijana tujitokeze tukamuondolee aibu mh kwani amechanganyikiwa sana,
 

hivi analea familia ipi???baada ya aibu ndo anafikiria kulea familia yake,,
 
Ila unaweza kuona huyu mama kama mkosaji lakini kwa ubinadamu kweli yamemfika hata alivyotunga wimbo moyo wa mtu kichaka kweli.Anastahili pole sababu huku duniani kila mtu mkosaji sema wengine makosa yao ya sirini wanayajua wao na Mungu wao.
 
Af yule binti ana mvuto sana...
 

Tunasubiri kwanza Mkulu ang'atuke madarakani, tunaogopa yasije yakatukuta ya Babu Seya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…