Vicky Kamata: Rais Samia hawezi kutibu majeraha, viongozi wa dini wagange mioyo ya watu, wamejeruhiwa

Huyu naye au alikuwa miongoni mwa wanufaika wa Kikwete?
Mbona hamusahau Jiwe?
Swala kufa kila mtu atakufa,mbona kifo Cha Magufuli anakiona Kama adhabu?
Mbona mme wake alishakufa naye alionea watu ndo maana alikufa?
Hovyo kabisa.
Tubishane kuhusu mengine lakini kuhusu Unyama wa Magufuli hapana.
 
Magufuli hakuwa katili alikuwa Mnyama, elewa alichomaanisha Vicky.
 
Huyu mama hajielewi kabisa

Hilo ndilo tatizo la kubebwabebwa

Ova
 
Mume wake alikuwa fisadi akatumbuliwa unategemea amsifie? Na ataendelea kuumizwa tu hakuna jinsi mpaka akatubu kwa Muumba wake! Pia mbona hakusema wakati akiwepo?
 
Kwa hiyo Vicky kamata alifanyiwa unyama gani? Huyo malaya alimind baada ya mmewe kutumbuliwa basì
Amejieleza mwenyewe kwa uwazi, Magufuli tumwache autwe kwa majina yote yanayomstahili ili liwe fundisho kwa wengine.
Mbona mnampamba kila siku kwa sugar coating hiyohiyo mnayoikataa hapa? Magufuli ni mnyama na kwa bahati mbaya amekufa akiwa mnyama.
 
Kwanza ameshazeeka nani anamtaka tena labda huyo wa Msoga atakuwa bado anamtaka.
 
Ofcourse kama aliishi kama maraika enzi za mkwere kiujanjaujanja lazima aliipata joto ya jiwe kwa kuishi kama shetwani[emoji3][emoji3][emoji3]! Na ndio bado, jiwe namba 2 napiga jalamba kumpokea huyu mama maana hawezi kutuvusha!
Musiba, Sabaya, Makonda, Hapi ni ujanjaujanja na kujipendekeza kulikowainua, au ilikuwa enzi ya Mkapa?
 
Mnafki sana huyu.Si aliwahi hadi kuimba bungeni wimbo wa kumsifu Magufuli. Kipindi anatafuta kura za maoni Kibamba kwenye poster zake si alikuwa anamsifia Magufuli ?.
Na nina uhakika kama jiwe angekuwa hai mpaka sasa hivi angekuwa anamsifu kupita kiasi. Mimi siku zote nasema mtu unapokuwa rais ukiona mtu anakusifi sana ujue anamaanisha kukuponda and vice versa. Hata rais wa sasa yuko kwenye kundi hilo hilo. Hata Kikwete yaani ni karibu CCM wote.
 
Dikteta ilikuwa lazima umsifie ,lasivyo anakuua
 
Mkapa alikua na marafiki vipenzi wengi tu akiwemo Fisadi mwenzie Ami Mpungwe!! Ukiachana na ulevi wa kupindukia uliomsumbua jamaa hakuwaga na choyo!
 
Mnafki sana huyu.Si aliwahi hadi kuimba bungeni wimbo wa kumsifu Magufuli. Kipindi anatafuta kura za maoni Kibamba kwenye poster zake si alikuwa anamsifia Magufuli ?.
Haiondoi ukweli aliousema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…