Vicky Kamata: Rais Samia hawezi kutibu majeraha, viongozi wa dini wagange mioyo ya watu, wamejeruhiwa

Vicky Kamata: Rais Samia hawezi kutibu majeraha, viongozi wa dini wagange mioyo ya watu, wamejeruhiwa

Huyu naye au alikuwa miongoni mwa wanufaika wa Kikwete?
Mbona hamusahau Jiwe?
Swala kufa kila mtu atakufa,mbona kifo Cha Magufuli anakiona Kama adhabu?
Mbona mme wake alishakufa naye alionea watu ndo maana alikufa?
Hovyo kabisa.
Tubishane kuhusu mengine lakini kuhusu Unyama wa Magufuli hapana.
 
Tanzania inataka ukatili kama miaka 50 hivi kushape jamii.....binafsi naanza harakati za kuwa Rais wa hii nchi na nitakuwa Katili kuliko huyo mnayemsema muache kudekadeka...

Hili linchi lina WAPUMBAVU wengi wanaohitaji ukatili wa hali ya juu tena miaka za 50 hivi ili wakae sawa na jamii mpya ikija iwe ya watu wasiopenda upumbavu na ukijaribu upumbavu unakufa on the spot..

Hiyo ulaya na America mnayokimbilia iliwahi kuwa ma makatili kuliko huyu mnayemuita katili ( late JPM hakuwa katili aisee aliwapenda mno anahitajika katili kuliko yeye).... huko ulaya na america viliwahi kupita vizazi katili ndio maendeleo yakaja ya kweli sio hii sugar coating..

Leo hii Ulaya na America imeendelea na makatili wote wamekabi in back face kwa kazi fulani fulani za kikatili na huko front face imewekewa wanasiasa wanaotabasamu lakini ukatili unaendelea nyuma huko....Ndio waiRaq walinyonga Saadam, Walibya wakamuua Ghadafi, huu ni ukatili wa back stage wa hao mnaowaona wanademocracy...

Bila hii nchi kuwafanyia ukatili wapumbavu na mamia kwa maelfu wakapotea na kufa haiwezi siku kuja kuendelea kwa hayo tunayoita maendeleo ya kweli....
Magufuli hakuwa katili alikuwa Mnyama, elewa alichomaanisha Vicky.
 
Mnafiki mkubwa huyo mbona hakuthubutu kuyasema haya Hayati alipokuwepo ili akione cha Moto vizuri?

Kwahiyo alitaka Hayati nae ampende na hata amtongoze kama alivyotongwa na Mstaafu Mswahili wa Chalinze ambaye alimwandikia namba yake ya Simu katika Simu yake katika Hafla ya CCM Mwanza Hotel 2006 ndipo akawa nae Kimahusiano na mpaka kumpa Vyeo mbalimbali Benki Kuu, katika Taasisi nyingine na Kumpambania awe Mbunge wa Viti Maalum?

Tena angekuwa na 'Akili' angenyamaza.
Huyu mama hajielewi kabisa

Hilo ndilo tatizo la kubebwabebwa

Ova
 
Amesema kiongozi wa awamu ya tano (jiwe) alikuwa mtu katili sana kiasi cha kumfanya apate taabu sana.

Amewasihi watanzania kuishi kwa kutenda mema maana duniani tunapita. Jiwe alilewa madaraka.

Amemaliza kwa kusema pamoja na kufuta andiko lake la kumshutumu jiwe ni kweli jiwe aliniumiza sana.

Source: StarTv (Medani za Siasa) muda huu.
Mume wake alikuwa fisadi akatumbuliwa unategemea amsifie? Na ataendelea kuumizwa tu hakuna jinsi mpaka akatubu kwa Muumba wake! Pia mbona hakusema wakati akiwepo?
 
Kwa hiyo Vicky kamata alifanyiwa unyama gani? Huyo malaya alimind baada ya mmewe kutumbuliwa basì
Amejieleza mwenyewe kwa uwazi, Magufuli tumwache autwe kwa majina yote yanayomstahili ili liwe fundisho kwa wengine.
Mbona mnampamba kila siku kwa sugar coating hiyohiyo mnayoikataa hapa? Magufuli ni mnyama na kwa bahati mbaya amekufa akiwa mnyama.
 
Mnafiki mkubwa huyo mbona hakuthubutu kuyasema haya Hayati alipokuwepo ili akione cha Moto vizuri?

Kwahiyo alitaka Hayati nae ampende na hata amtongoze kama alivyotongwa na Mstaafu Mswahili wa Chalinze ambaye alimwandikia namba yake ya Simu katika Simu yake katika Hafla ya CCM Mwanza Hotel 2006 ndipo akawa nae Kimahusiano na mpaka kumpa Vyeo mbalimbali Benki Kuu, katika Taasisi nyingine na Kumpambania awe Mbunge wa Viti Maalum?

Tena angekuwa na 'Akili' angenyamaza.
Kwanza ameshazeeka nani anamtaka tena labda huyo wa Msoga atakuwa bado anamtaka.
 
2925143_download_3.jpeg

200 (6).gif


200 (5).gif
 
Ofcourse kama aliishi kama maraika enzi za mkwere kiujanjaujanja lazima aliipata joto ya jiwe kwa kuishi kama shetwani[emoji3][emoji3][emoji3]! Na ndio bado, jiwe namba 2 napiga jalamba kumpokea huyu mama maana hawezi kutuvusha!
Musiba, Sabaya, Makonda, Hapi ni ujanjaujanja na kujipendekeza kulikowainua, au ilikuwa enzi ya Mkapa?
 
Mnafki sana huyu.Si aliwahi hadi kuimba bungeni wimbo wa kumsifu Magufuli. Kipindi anatafuta kura za maoni Kibamba kwenye poster zake si alikuwa anamsifia Magufuli ?.
Na nina uhakika kama jiwe angekuwa hai mpaka sasa hivi angekuwa anamsifu kupita kiasi. Mimi siku zote nasema mtu unapokuwa rais ukiona mtu anakusifi sana ujue anamaanisha kukuponda and vice versa. Hata rais wa sasa yuko kwenye kundi hilo hilo. Hata Kikwete yaani ni karibu CCM wote.
 
Na nina uhakika kama jiwe angekuwa hai mpaka sasa hivi angekuwa anamsifu kupita kiasi. Mimi siku zote nasema mtu unapokuwa rais ukiona mtu anakusifi sana ujue anamaanisha kukuponda and vice versa. Hata rais wa sasa yuko kwenye kundi hilo hilo. Hata Kikwete yaani ni karibu CCM wote.
Dikteta ilikuwa lazima umsifie ,lasivyo anakuua
 
mkapa waliomfahamu at a personal level wanadai jamaa hakutaka watu wanaojipendekeza kwake na hakuwa na urafiki yule mzee yani kwa kifupi alikuwa na maisha anayojua yeye
nasikia amewahi mara nyingi kuwafukuza wageni ikulu kuna wanasiasa aliwadisi wamefata soseji ikulu
Mkapa alikua na marafiki vipenzi wengi tu akiwemo Fisadi mwenzie Ami Mpungwe!! Ukiachana na ulevi wa kupindukia uliomsumbua jamaa hakuwaga na choyo!
 
Mnafki sana huyu.Si aliwahi hadi kuimba bungeni wimbo wa kumsifu Magufuli. Kipindi anatafuta kura za maoni Kibamba kwenye poster zake si alikuwa anamsifia Magufuli ?.
Haiondoi ukweli aliousema
 
Back
Top Bottom