Vicky Kamatta: Dada mwenye mafanikio

bashukuru wachangiaji wote ila nimempenda sana najma na thread yako unaweza kutupa ukweli zaidi ni chuo gani kiko wapi maana naona kuna contradiction hapa sasa , tafadhali
 
Wanawake na maendeleo lelele eh wanawake na maendeleo katika one step mbele,three steps nyuma,hayo ndio maendeleo kuwa na vyeti feki,hata ununue vyeti kama ni kihiyo ni kihiyo tu,hata ufanyeje bado unakuwa kihiyo tu,hao ndio tunawategemea kuwa wabunge na mawaziri vijana wetu ,lakini sishangai kama viongozi wengi wana digrii feki na wanapeta hayo ndio matunda yake,sijui mpaka akina Msemakweli watoe vitabu ndio tuzinduke,hapa tuna vyombo au tasisi ambazo zingeweza kuzuia huo uozo lakini kwa sababu wote wamefika hapo walipo kwa mambo ya kufoji basi hakuna kitakacoendelea,loo ngoja nipige free style ya Wanawake na maendeleo lalalalalaaaah
 
bashukuru wachangiaji wote ila nimempenda sana najma na thread yako unaweza kutupa ukweli zaidi ni chuo gani kiko wapi maana naona kuna contradiction hapa sasa , tafadhali
dalali, mbona unanitaka umbea nimeona mshaanza kututisha hapa, ila sisi weekend ijayo kuna kikao na watu wa BOT na wengine tutauliza ilo swali.

unajuwa mwenye kufaulu mpe ongera na ukifeli achia kitin icho vikky alisona SOUTHAMPTON SOLENT UNIVERSITY UK sio London na kama London basi nacho magumashi jamani kama mnamaswali sinimewapa wesite angalieni mtanona kila kitu hata mkitakamuulize mtaweza. na si inawezekana kuhakiki cheti kwa muajili katika chuo alichosoma sasa wanashindwa nini hao wanabebana. waulizeni waajili wake ila ni kweli hana cheti cha masters sijui anakingine na wazungu wakijuwa aisee wanamfunga anapunguza hadhi ya chuo maana wote ni maproduct nadhani ndio maana kashindwa hii sio ST AUGUSTINO MAKSI MEZANI hapa msuli tuu . dalali youe wellcome
 
Mie nitajaribu ajira kwa kina LundengaπŸ™„

mbona unafit sana, na huo ndio mwanzo wa kuonekana na mwisho wa siku mkuu atakupeleka sokoni UK kununua Phd na unarudi pale BOT, kama bonge la boc
 
Mie nitajaribu ajira kwa kina LundengaπŸ™„

Hee Maria naona usha mchoka shemejo,uende kwa akina Hashim,utageuzwa,utagaragazwa na wakisha kuchoka watakutupilia mbali kwa wale wazee wa British Legion
 
Jamni sina mshepu wa kuajiriwa na BOT
labda nitumie bidhaa za kichina..πŸ˜‰
 


Hapo nilipopigilia mstari.......Jamani mlishaambiwa " kama unaishi kwenye nyumba ya vioo..unashauriwa usipende kurusha mawe" Nina imani muungwana umenipata.
 
Wakunyumba Masanja!
Hii ni kali, sidhani kama hizi habari tunazo soma hapa dada yetu angeweza kula nondo za London School of Economics......alikuwa Southampton jina la chuo sina uhakika. Siwezi shangaa akiteuliwa na Muungwana kuwa balozi wetu UK.


Port,

Si unajua sisi huku tunadanganywa na walio huko duniani?

Mtu akija hapa atakwambia nilikuwa nasoma UK! ukiuliza zaidi ya hapo..utaambiwa "sasa wewe UK unaijua? hata nikikwambia chuo huwezi kukijua"...Baada ya hapo inabidi ukae kimya....
 

Hayo mambo yako mengi serikalini kuliko tunavyojua.

Habari zaidi iko
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/53042-ufisadi-uliokithiri-hazina.html
 
Alisoma SAUT degree yake ya kwanza badae tulisikia yuko BOT ila hakukaa sana akaenda UK kusoma sikujua kama alisharudi nchini. Ila Mkubwa me bado umri wangu ni mdogo nisingependa kufa hivi karibuni naomba nisiseme mengi juu ya huyu mdada manake ni mali ya mkubwa. Kuhusu BOT, kama ni mali ya mkubwa hakuna lisilowezekana!
 
Oh ndugu yangu Dalali, kuwa makini yasije yakawa yale ya Ndugus Babu Seya na Amatus Liyumba!! Siri nzito!!

Nilitaka ku-comment, kwa mtaji huu. basi tufunge sredi. Mhhh.......kazi ipo
 
wengine wanasema ni CHAKULA YA MZEEπŸ˜€
 
Na bado mwakani atakuwa waziri flaniflani sijui wa wanawakeee...........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…