kalagabaho JF-Expert Member Joined Nov 4, 2010 Posts 5,457 Reaction score 5,893 Mar 6, 2015 #121 Masaki said: Kazaliwa 1978 kaanza form I mwaka 1990, ina maana alikuwa na miaka 12!! Click to expand... Kamaliza form 4 na miaka 15! Enzi hizo ilikua haiwezekani. .miaka 15 mtu ndio anaanza form one eti yeye ndo anamaliza!..hesabu zake za kujumlisha na kutoa hajazipiga vizuri
Masaki said: Kazaliwa 1978 kaanza form I mwaka 1990, ina maana alikuwa na miaka 12!! Click to expand... Kamaliza form 4 na miaka 15! Enzi hizo ilikua haiwezekani. .miaka 15 mtu ndio anaanza form one eti yeye ndo anamaliza!..hesabu zake za kujumlisha na kutoa hajazipiga vizuri
SaaMbovu JF-Expert Member Joined Oct 8, 2013 Posts 6,027 Reaction score 5,344 Mar 6, 2015 #122 Mie najua kuna Masters ya Education nk. Hiyo Masters ya Uingereza ndio masomo yapi nijuze
A Ave Ave Maria JF-Expert Member Joined Apr 22, 2011 Posts 10,707 Reaction score 5,678 Mar 7, 2015 #123 Hili lithread ni useless kabisa! Tangu 2010 mpaka leo no ushahidi wala data za kueleweka!!
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 86,410 Reaction score 169,862 Mar 20, 2015 #124 mmmh moro sec!!! mwaka gani hiyo?
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 86,410 Reaction score 169,862 Mar 20, 2015 #125 DEMBA said: ngoja kwaza atoto aje atoe le tamkoz kwa hisani ya le mutuzz Click to expand... mmmmh! huyu nae mpanaaa Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
DEMBA said: ngoja kwaza atoto aje atoe le tamkoz kwa hisani ya le mutuzz Click to expand... mmmmh! huyu nae mpanaaa