Pre GE2025 Victor Makundi (UVCCM) azitaka Mamlaka za Kisheria kuchukua hatua dhidi ya Tundu Lissu kwa Kukaidi Katiba

Pre GE2025 Victor Makundi (UVCCM) azitaka Mamlaka za Kisheria kuchukua hatua dhidi ya Tundu Lissu kwa Kukaidi Katiba

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
MJUMBE wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa kupitia mkoa wa Kilimanjaro, Victor Makundi amekitaka Chama cha Wanasheria nchini, Tume ya maadili ya Mawakili na Mahakama kuu kutomfumbia macho mwanachama wao Tundu Lissu anayejaribu kuipoka Katiba ya nchi madaraka yake na kuipaka matope na kumchukulia hatua.

Makundi ametoa kauli hiyo leo, alipokuwa akizungumza na vijana 720 wa Chama cha Mapinduzi waliopo kambini wilayani Hai mkoani Kilimajaro ambapo alisema kuwa, haiwezekani mtu mmoja au kikundi cha watu kikawapoka haki ya kupiga kura kwani ni haki ya kila Mtanzania kupiga kura na kuwa na uchaguzi.

Pia soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Sisi ni vijana wa nchi hii tukishindwa kuisimamia Katiba yetu tukiwa wadogo tunaandaa Taifa gani la kesho ni lazima tusimame imara kuhakikisha katiba yetu inalindwa na haipaswi mtu huyu akaendelea kuachwa akilipotosha Watanzania" alisema Makundi.
 
MJUMBE wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa kupitia mkoa wa Kilimanjaro, Victor Makundi amekitaka Chama cha Wanasheria nchini, Tume ya maadili ya Mawakili na Mahakama kuu kutomfumbia macho mwanachama wao Tundu Lissu anayejaribu kuipoka Katiba ya nchi madaraka yake na kuipaka matope na kumchukulia hatua.

Makundi ametoa kauli hiyo leo, alipokuwa akizungumza na vijana 720 wa Chama cha Mapinduzi waliopo kambini wilayani Hai mkoani Kilimajaro ambapo alisema kuwa, haiwezekani mtu mmoja au kikundi cha watu kikawapoka haki ya kupiga kura kwani ni haki ya kila Mtanzania kupiga kura na kuwa na uchaguzi.

Pia soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Sisi ni vijana wa nchi hii tukishindwa kuisimamia Katiba yetu tukiwa wadogo tunaandaa Taifa gani la kesho ni lazima tusimame imara kuhakikisha katiba yetu inalindwa na haipaswi mtu huyu akaendelea kuachwa akilipotosha Watanzania" alisema Makundi.
Kwako Cde Makundi. Una uhakika na vijana wenzenu wa vyama vingine na wasio na chama, wakisema mkutane kati mpimane nguvu mtawezana? Au umeongea tuu kufurahisha vijana?
 
MAAJABU YA AJABU KUBWA YAPO TANZANIA.kiongozi ya tume ya uchaguzi kuwa mgombea kwa tiketi ya ccm na kujitangaza mwenyewe kuwa mshndi.MAAAAAAJABU
 
MJUMBE wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa kupitia mkoa wa Kilimanjaro, Victor Makundi amekitaka Chama cha Wanasheria nchini, Tume ya maadili ya Mawakili na Mahakama kuu kutomfumbia macho mwanachama wao Tundu Lissu anayejaribu kuipoka Katiba ya nchi madaraka yake na kuipaka matope na kumchukulia hatua.

Makundi ametoa kauli hiyo leo, alipokuwa akizungumza na vijana 720 wa Chama cha Mapinduzi waliopo kambini wilayani Hai mkoani Kilimajaro ambapo alisema kuwa, haiwezekani mtu mmoja au kikundi cha watu kikawapoka haki ya kupiga kura kwani ni haki ya kila Mtanzania kupiga kura na kuwa na uchaguzi.

Pia soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Sisi ni vijana wa nchi hii tukishindwa kuisimamia Katiba yetu tukiwa wadogo tunaandaa Taifa gani la kesho ni lazima tusimame imara kuhakikisha katiba yetu inalindwa na haipaswi mtu huyu akaendelea kuachwa akilipotosha Watanzania" alisema Makundi.
Childish
 
Kumbe hata KATiBA yenyewe hajaisoma..Katiba hiii hii ya mwaka 1977 na Marekebisho yake LUKUKI inaruhusu kupinga Jambo lisilo sawa kama Maigizo na Uchafuzi wa Chaguzi zetu kwa njia za kidemokrasia kama Maandamano, Maoni... CDM wapio sahihi.. go go CHADEMA
 
MJUMBE wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa kupitia mkoa wa Kilimanjaro, Victor Makundi amekitaka Chama cha Wanasheria nchini, Tume ya maadili ya Mawakili na Mahakama kuu kutomfumbia macho mwanachama wao Tundu Lissu anayejaribu kuipoka Katiba ya nchi madaraka yake na kuipaka matope na kumchukulia hatua.

Makundi ametoa kauli hiyo leo, alipokuwa akizungumza na vijana 720 wa Chama cha Mapinduzi waliopo kambini wilayani Hai mkoani Kilimajaro ambapo alisema kuwa, haiwezekani mtu mmoja au kikundi cha watu kikawapoka haki ya kupiga kura kwani ni haki ya kila Mtanzania kupiga kura na kuwa na uchaguzi.

Pia soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Sisi ni vijana wa nchi hii tukishindwa kuisimamia Katiba yetu tukiwa wadogo tunaandaa Taifa gani la kesho ni lazima tusimame imara kuhakikisha katiba yetu inalindwa na haipaswi mtu huyu akaendelea kuachwa akilipotosha Watanzania" alisema Makundi.
Mbona hawajaanza na yaliyotokea Dodoma kwa Katiba kubakwa na wabakaji?
 
MJUMBE wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa kupitia mkoa wa Kilimanjaro, Victor Makundi amekitaka Chama cha Wanasheria nchini, Tume ya maadili ya Mawakili na Mahakama kuu kutomfumbia macho mwanachama wao Tundu Lissu anayejaribu kuipoka Katiba ya nchi madaraka yake na kuipaka matope na kumchukulia hatua.

Makundi ametoa kauli hiyo leo, alipokuwa akizungumza na vijana 720 wa Chama cha Mapinduzi waliopo kambini wilayani Hai mkoani Kilimajaro ambapo alisema kuwa, haiwezekani mtu mmoja au kikundi cha watu kikawapoka haki ya kupiga kura kwani ni haki ya kila Mtanzania kupiga kura na kuwa na uchaguzi.

Pia soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Sisi ni vijana wa nchi hii tukishindwa kuisimamia Katiba yetu tukiwa wadogo tunaandaa Taifa gani la kesho ni lazima tusimame imara kuhakikisha katiba yetu inalindwa na haipaswi mtu huyu akaendelea kuachwa akilipotosha Watanzania" alisema Makundi.
Eti vijana msimamie katiba au msimamie njaa zenu?huna lolote bro wewe unajifunza tu ufisadi au tuanike hapa maovu yako na ushahidi?
 
MJUMBE wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa kupitia mkoa wa Kilimanjaro, Victor Makundi amekitaka Chama cha Wanasheria nchini, Tume ya maadili ya Mawakili na Mahakama kuu kutomfumbia macho mwanachama wao Tundu Lissu anayejaribu kuipoka Katiba ya nchi madaraka yake na kuipaka matope na kumchukulia hatua.

Makundi ametoa kauli hiyo leo, alipokuwa akizungumza na vijana 720 wa Chama cha Mapinduzi waliopo kambini wilayani Hai mkoani Kilimajaro ambapo alisema kuwa, haiwezekani mtu mmoja au kikundi cha watu kikawapoka haki ya kupiga kura kwani ni haki ya kila Mtanzania kupiga kura na kuwa na uchaguzi.

Pia soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Sisi ni vijana wa nchi hii tukishindwa kuisimamia Katiba yetu tukiwa wadogo tunaandaa Taifa gani la kesho ni lazima tusimame imara kuhakikisha katiba yetu inalindwa na haipaswi mtu huyu akaendelea kuachwa akilipotosha Watanzania" alisema Makundi.
Jibuni hoja zake na sii kuanza kulialia ili mbeleko mliyoizoea iwabebe.
 
MJUMBE wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa kupitia mkoa wa Kilimanjaro, Victor Makundi amekitaka Chama cha Wanasheria nchini, Tume ya maadili ya Mawakili na Mahakama kuu kutomfumbia macho mwanachama wao Tundu Lissu anayejaribu kuipoka Katiba ya nchi madaraka yake na kuipaka matope na kumchukulia hatua.

Makundi ametoa kauli hiyo leo, alipokuwa akizungumza na vijana 720 wa Chama cha Mapinduzi waliopo kambini wilayani Hai mkoani Kilimajaro ambapo alisema kuwa, haiwezekani mtu mmoja au kikundi cha watu kikawapoka haki ya kupiga kura kwani ni haki ya kila Mtanzania kupiga kura na kuwa na uchaguzi.

Pia soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Sisi ni vijana wa nchi hii tukishindwa kuisimamia Katiba yetu tukiwa wadogo tunaandaa Taifa gani la kesho ni lazima tusimame imara kuhakikisha katiba yetu inalindwa na haipaswi mtu huyu akaendelea kuachwa akilipotosha Watanzania" alisema Makundi.
Aache ujinga
 
Back
Top Bottom