Victorien Adebayor na mahaba ya Simba

Victorien Adebayor na mahaba ya Simba

Wewe msemaji wa Adebayor hebu tupe sasa hivi account halisi ya bosi wako.

Umemwaga povu kama mtoto wa chekechekea halafu unaita kaka zako hawana akili, kwani hairuhusiwi Adebayor kufungua acc ya insta tarehe 22?!

Umejaza hisia zako hapa halafu ukajiaminisha ndio ukweli 100%, wacha utoto wako dogo.
Ok basi tufanye unavyotaka wewe basi. Ok sawa Adebayor kaamua kufungua account baada ya mechi ya Simba na USGN na pia kashindwa ku verify account yake kwa kukosa ela ama kwa kutokuona umuhimu wa kufanya hivyo. Haya mkuu umeridhika?
 
Ok basi tufanye unavyotaka wewe basi. Ok sawa Adebayor kaamua kufungua account baada ya mechi ya Simba na USGN na pia kashindwa ku verify account yake kwa kukosa ela ama kwa kutokuona umuhimu wa kufanya hivyo. Haya mkuu umeridhika?
why hukufikiria hivyo toka mwanzo? mnapenda sana complication. ningekuona GT kama ungeweka account halisi
 
Ok basi tufanye unavyotaka wewe basi. Ok sawa Adebayor kaamua kufungua account baada ya mechi ya Simba na USGN na pia kashindwa ku verify account yake kwa kukosa ela ama kwa kutokuona umuhimu wa kufanya hivyo. Haya mkuu umeridhika?
Me nadhani kuonyesha kwamba ulichoongea tangu huko juu ni ukweli ungeweka tu hiyo account yake halisi, vinginevyo wewe pia huna uhakika wa unachokisema.
 
why hukufikiria hivyo toka mwanzo? mnapenda sana complication. ningekuona GT kama ungeweka account halisi
Mkuu narudia tena, sio kila mchezaji ana account ya Instagram. Unaweza kunipa account halisi ya Saidoo Kanoute? Nakupa somo lifuatalo

Account ya Instagram ya Simbasc imewa follow wachezaji wake kama anatumia mtandao wa Instagram(ana account ya Instagram). Lakini ukiangalia kuna wachezaji hawapo kwenye list mfano ni Kanoute na hiyo inatokana na kutokuwa na account ya Instagram. Lakini ukiingia kwenye Instagram ukisachi Saido Kanoute utakutana na utitiri wa makaunti ya Kanoute ambayo yote ni fake. Hoja yangu hapa ni kwamba sio kila mchezaji anatumia Instagram.
 
Watanzania tunaongoza kwa ushamba na ujinga mwingi sana.

Hawachukui muda wao kufatilia account kama ni official ya mchezaji husika watu wanakurupuka tu.

Account rasmi ya mchezaji huwa haianzi baada ya tukio fulani bali huwa inakwepo tokea kipindi kirefu. Ukiangalia hiyo account ambayo imeingiza watu kingi ni kwamba imeanza kuposti kwa mara ya kwanza tarehe 22 mwezi wa pili.

Mechi ya USGN vs Simba ilifanyika tarehe 20 mwezi wa pili. Hivyo ni mtu tu kajifungulia account baada ya mechi ya Simba kucheza na USGN kule Niger na Adebayor ndio kuonekana mtu aliyeimbwa sans Ni account fake ni Adebayor wa michongo
Mashabiki wa simba wengi ni mbumbumbu, rahisi sana kudanganya, unakuta mtu unasombwa kwenye lory unazunguka mtaani unapiga makelele kama mwehu
 
Mashabiki wa simba wengi ni mbumbumbu, rahisi sana kudanganya, unakuta mtu unasombwa kwenye lory unazunguka mtaani unapiga makelele kama mwehu
Swala la mtu kuzunguka mtaani na lory sio kwamba haliwezekani kwa yule nguruwe wenu, ni kwamba ikitokea kazunguka hivyo mitaani basi ujue tunazika.
 
why hukufikiria hivyo toka mwanzo? mnapenda sana complication. ningekuona GT kama ungeweka account halisi
Huyu jamaa hazingatii kuwa nchi nyingi za Afrika hazina mambo ya instagram kwa sana ndio maana klabu nyingi maarufu na mafanikio kuliko Simba zinazifiwa idadi ya followers. Hata wachezaji wakisajiliwa Simba nyomi la followers wanalipatia Simba iwe twitter au instagram.
 
Swala la mtu kuzunguka mtaani na lory sio kwamba haliwezekani kwa yule nguruwe wenu, ni kwamba ikitokea kazunguka hivyo mitaani basi ujue tunazika.
Ona sasa nyie ndiyo mnafanya mashabiki wa simba kuonekana wote vilaza, huwezi kujenga hoja mpaka umtusi mtu?
 
Huyu jamaa hazingatii kuwa nchi nyingi za Afrika hazina mambo ya instagram kwa sana ndio maana klabu nyingi maarufu na mafanikio kuliko Simba zinazifiwa idadi ya followers. Hata wachezaji wakisajiliwa Simba nyomi la followers wanalipatia Simba iwe twitter au instagram.
Ila jamaa ana hoja, na kuhusu ulichokisema ni sahihi na ndio maana amesema kuwa sio kila mchezaji lazima awe na akaunti ya mitandao ya kijamii kama Instagram.
 
Vutuko havitaisha duniani, yaani mchezaji kutoka Afrika Magharibi awe na mapenzi ya dhati na club ya Tanzania! Kama kweli anapost hayo mnayo yasema tumsifie kwa kuwa "Agent" mzuri na mchezaji mzuri vile vile, not otherwise .
 
Mkuu narudia tena, sio kila mchezaji ana account ya Instagram. Unaweza kunipa account halisi ya Saidoo Kanoute? Nakupa somo lifuatalo

Account ya Instagram ya Simbasc imewa follow wachezaji wake kama anatumia mtandao wa Instagram(ana account ya Instagram). Lakini ukiangalia kuna wachezaji hawapo kwenye list mfano ni Kanoute na hiyo inatokana na kutokuwa na account ya Instagram. Lakini ukiingia kwenye Instagram ukisachi Saido Kanoute utakutana na utitiri wa makaunti ya Kanoute ambayo yote ni fake. Hoja yangu hapa ni kwamba sio kila mchezaji anatumia Instagram.
kama umewaza hivyo kwa nini usiwaze kuwa Adebayor ndio kafungua account hivi karibuni coz hakuwa nayo kabla?
 
Huyo Mac Alpho stress za kubeti zinamsumbua akinyanduliwa na kanji hasira anamalizia kutus watu humu ambao Pengine ni Baba zake
Hahahaha kubeti nako bado ni story ya kushangaza hapa mjini?

Stress nizitoe wapi ikiwa tangu nazaliwa mpaka leo na ukubwa wangu sijui kitu kinachoitwa SHIDA ? (Namshukuru kwa hili)

Nyinyi masikini (mafukara) ndo mnaokuwa na stress.
 
Back
Top Bottom