Vidada vya kituruki vichafu hatari

Hao waturuki wazungu sio Waarabu , kumbuka waturuki wamegawanyiks kuna wale wa uzungu mwingi na wale uarabu mwingi ambao wako Anatolia karibu na mipaka ya IraQ na Syria.
Hivi si tulikubaliana kwamba uzungu siyo ukristo wala uarabu siyo uislamu, sisi tunachojua Asilimia 99 ya waturuki ni waislamu tena wengi ni sunni, hayo ya uzungu na uarabu hayahusiani na dini
 
Mchagua k si mto.mbaj kaka
 
Ngoja waje waturuki wa bongo
 
Rangi nyeupe wengi ni Wachafu sana. Wana hisi ule mwonekano wao wa Rangi basi ni Clean.

Wenzetu wa Bombay na hawa wajomba zake Saudia......huku uswazi aisee bora tu wachukuane wao kwa wao.

Mtu ukimvua utashangaa sana
 
Hata muvi za kibongo waigizaj wanatafutwa warembo tu.kina uwoya sepetu lulu...muvi hazina uhalisia dada angu..dunia nzima
Ndiyo kosa kubwa wanalofanya Bongo movies. Si kweli kwamba uigizaji unahitaji wanawake warembo tu. Uigizaji unataka muigizaji mwenye kipaji cha kuigiza na haiba yake iendane na uhusika anaouvaa. Movie inatakiwa i-reflect hali halisi ya maisha na mazingira wanayotaka kuonyesha. Na mitaani hakuna wanawake warembo tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…