Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
🤔Aiseer poleMaji yapo chooni! Lkn anajifuta na kitambaa makwapani bila aibu! Ni mwanaume
Mimi ndo nilikua rafiki yake kumpeleka airport kutoa pesa
Kutembea nae harufuu plus kigugumizii chake! hadi kichwa kinaniuma😄
Umetembea nao wangapi mpaka kuwaweka wote kundi moja ?Ukiviona kwa nje vinavutia nenda nae geto uone habari yake. Picha linaanza akivua viatu hiyo harufu inayotoka hapo utajuta kukutana nae.
Sasa avue chupi dadadeki chupi pale kati rangi imebadiliaka halafu kuna kamnato mnato kanatoa harufu tegemezi. Vinapenda kula denda afu mswaki avipigi vinanuka mdomo. Meno yamebadilika rangi kwa sigara. Muda wote vinanuka sigara. Nimetembea kote sijaona wadada wachafu kama wa kituruki wanazidiwa hadi na dada zetu wa kwampalange
Dah pole,,kama nakuona uraibu utakavyokutesa. ...hizi tamthilia Zina uraibu sana🤣 Hatari
Na huku niliko no azam
Nina mawazo sijui nafanyje kumuona ferit na seylan ,next week
😁😁 so poa bro2016 nyumbani tulipokea mgeni kutoka German
Alikaa mwezi, kama alioga haikuzidi 5 times zaidi ya kujifuta na kitambaa cha maji.
Tissue zilikua zinakauka hatujui wapi zinaenda nahisi alikua anajifutia nyaa
Alikua ananuka kishenzi
Niko bize sana....Mhenga Hivi upo ndo kulea wajukuu au nini umepotea kweli
SanaaaDah pole,,kama nakuona uraibu utakavyokutesa. ...hizi tamthilia Zina uraibu sana
🤣🤣🤣🤣🤣Dah umetisha sana!hapo afe kipa afe beki taarifa za tamthilia unazoSanaaa
Ila nimepata soln.
Kuna group Moja hivi wanatuma tamthiliya karibu zote
Buku tu Kwa mwezi
Hey, you mzungu, take shower🤣🤔Aiseer pole
Mi ningempa live nakwambia
🤣🤣Hey, you mzungu, take shower🤣
Mimi nafahamu hilo mkuu lakini waislamu ndio husema kwamba uarabu siyo uislamu, kwamba eti wako waarabu wakristo ambao hao ndio hufanya maovu kama uzinzi, ushoga nk ila wale waarabu waislamu wao ni watakatifuMkuu huwezi kuutenganisha uarabu na uislamu.....au uzungu na ukristo....
Kuna sababu za msingi wasomi tunasema hivyo...
Tuache siasa na unafiki...tujadili kisomi..
Sa na wewe wengi wote hao wa kazi gani? Unataka kugundua nini.?Tudada twingi siku hizi tuchafu.
Pole na hongera kwa mapambano nikutakie kila la kheri. heri ya xmass na mwaka mpya masai dadaNiko bize sana....
SI unajua hatujaachiwa urithi
Mazingira yao ni masafi sana kwa hiyo ni kawaida kwao kutokuoga2016 nyumbani tulipokea mgeni kutoka German
Alikaa mwezi, kama alioga haikuzidi 5 times zaidi ya kujifuta na kitambaa cha maji.
Tissue zilikua zinakauka hatujui wapi zinaenda nahisi alikua anajifutia nyaa
Alikua ananuka kishenzi
Vichaka vinakauka majani, lazima utafute kivuli kipya.Sa na wewe wengi wote hao wa kazi gani? Unataka kugundua nini.?
Azam tv wame kuharibu😄😂🤒Hawa Hawa kina Sultana na Feliz walivyo vinanda?aaaaah utakuwa una lako jambo wewe🤣
Basi msilalamike. Vichafu ndo vinapatikana kirahisi maana ni cheapVichaka vinakauka majani, lazima utafute kivuli kipya.
Ndio uko huko Uturuki? Au Uturuki ya Bongo? Au unaota nduguUkiviona kwa nje vinavutia nenda nae geto uone habari yake. Picha linaanza akivua viatu hiyo harufu inayotoka hapo utajuta kukutana nae.
Sasa avue chupi dadadeki chupi pale kati rangi imebadiliaka halafu kuna kamnato mnato kanatoa harufu tegemezi. Vinapenda kula denda afu mswaki avipigi vinanuka mdomo. Meno yamebadilika rangi kwa sigara. Muda wote vinanuka sigara. Nimetembea kote sijaona wadada wachafu kama wa kituruki wanazidiwa hadi na dada zetu wa kwampalange