SI KWELI Video: Anayejiita Superwoman akamatwa na mihadarati nchini Oman

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Unaweza kushangaa hawa watu wasioleweka hata biashara zao hazieleweki ndio wanapata airtime ..Kuna yule chief wa Mbeya yaani hovyo kabisa.
 
"Manina zao, wanatupa stress tukidhan tumechelewa kumbe ndo zao "🤣🤣
 
Kwa waarabu kaisha huyo ,halafu ni ushamba sana yaani hapo hata zile Scanner za screening airport anashikwa.
Sijui alidanganywa na nani kuweka sumu kichwani wakati sasa hivi wakichukua picha inaonyesha kila kitu aisee yupo mwingine dada kutoka SA alikamatwa Hong Kong yeye alisukia kwenye rasta zilikatwa rasta zote ndio wakachambua sumu..
 
Mkuu, kuwa-control hawa watu ni ngumu sana kwa sasa hivi kwa sababu ya social media na soko huria la vyombo vya habari. Huoni sasa hivi makahaba kama kina Mobeto ndiyo wamekuwa gumzo na ''mfano'' kwa jamii? Kila anapobadilisha mwanaume ndivyo anavyoshangiliwa. Njia sahihi ni wewe kufunza watoto na watu wako wa karibu ili wasiwe wafuata mkumbo. Wajitambue, wajiamini na kujikubali.
 
Ng
Ipo kee utakavyo ipokea ila ameanguka akitafuta.

Cha msingi kufanya kazi hakuna ubishi hapo ni

Subiri anyanyuke then atakuja kukusimulia namna ambavyo biashara halali ya mchicha ingemlipa endapo angeamua kutumia akili na nguvu kuliko kutanguliza tamaa ya pesa za haraka.. yaan huna hata akili za kawaida unaenda kufanya biashara inayo hitaji zaidi ya elimu ya Chuo kikuu?? Alafu unajiita mpambanaji… fool!
 

Mkuu inawezekana mnoo wala hata sio kwa kutumia Nguvu nyingi.. maana hao wanaopost wanajulikana ni swala la kitaaluma tu, ita hao watopotoshaji wape elimu kidogo, vyombo vya habari vipewe jukumu la kuelimisha umma kuhusu hilo swala kama ambavyo wanatangaza matangazo ya kubet 24/7 watu wenye elimu na vipaji vyenye Tija ndo waanze kuitwa kwenye National Functionz etc Vipindi vya tv, redio yaan mkiamua kusafisha akili za watu ni miezi sita tu.. inabaki historia
 
Uwanja wa ndege Dar aliwezane kutoka na madawa yote hayo ambayo hata ukaguzi wa bila kutumia vifaa unayagundua.Tanzania imekuwa salama Kwa biashara za madawa ya kulevya chini ya wamu ya sita
 
Huo muda wa kusimulia ataupata wapi?
Ashaenda huyo + age yake ni mbibi akitoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…