Video:Askari trafik ampa kipigo raia Zenj

Video:Askari trafik ampa kipigo raia Zenj

palalisote

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2010
Posts
8,335
Reaction score
1,459
Baada ya Pinda kuwapa ruhusa

 
Last edited by a moderator:
Tatizo wazanzibar mdabwedo mno... Kaaskari kamoja kanawanyanyasa hivyo...
 
Duh....ningekuwa mimi angeipata huyu traffic. Ningempa vichwa vya mbizi mpaka ajinyeee! hawa watu ndio tumewakabizi dhamana ya kusimamia sheria alafu wanafanya huu ujinga? Shamebon them
 
Inabidi wananchi tuoneshe umoja na mshikamano. Inakuwaje askari anampiga mwenzenu nyie mnabaki kumwangalia tu, kujitetea ni haki ya kila raia, kusaidiana katika madhila na uonevu ni muhimu pia vinginevyo tutabaki tukionewa na watawala dhalimu kila siku
 
Hakuna hata mtu wa kumtetea kijana na kutoa usuruhishi. Hii nchi tunakoenda siko!
 
Ndio ruhusa ya pinda hiyo, sasa inabidi iwekwe kwa sheria rasmi. Polisi akikuta mhalifu anmbonda alafu anamwachia hakuna haja ya kukamatana
 
Kombo na washkaji zako hapo uwanjani mmeniangusha sana. Huyu angekuwa Tarime au Ngara habari ingekuwa tofauti hii
 
Huyu dogo alitaka kukimbia. Hakutaka kutii sheria.

Pinda aliagiza wapigwe tuuu! Maana serikali imechoka.

Traffic Police alikuwa anatekeleza agizo la Waziri Mkuu.

Na kampiga kweli.
 
Wosia wa mwanaharakati Malcolm X

Be peaceful,be courteous,obey the law,respect everyone , but if someone puts his hand on you, send him to the cemetry.
 
Huyu dogo alitaka kukimbia. Hakutaka kutii sheria.

Pinda aliagiza wapigwe tuuu! Maana serikali imechoka.

Traffic Police alikuwa anatekeleza agizo la Waziri Mkuu.

Na kampiga kweli.

Traffic police ni wala rushwa wa kutupa hawastahili heshima hata chembe. Dogo alifanya sawa ila lawama hakujibu mapigo. Bila kufanya kweli tutaendelea kunyanyasika kila kukicha.
 
Hakuna hata mtu wa kumtetea kijana na kutoa usuruhishi. Hii nchi tunakoenda siko!

Umesahau maneno za Pinda....na ukamfanyizia kesho yake kikosi chote cha polisi kinakutafuta, wasipokupandikizia bangi au madawa ya kulevya. Wanakupandikizia risazi kisha wanadai wewe jambazi sugu unayetafutwa miaka mingi.
 
Mbona story tuzisikiazo huku BARA ni kuwa polisi wa Zenji huwaagizia wahalifu wajipeleke kituoni kwa lugha isoyokuwa yakukemea kabisa?? Wewe mleta thread isijekuwa umechukua picha toka Arusha.........
 
Tatizo wazanzibar mdabwedo mno... Kaaskari kamoja kanawanyanyasa hivyo...

Mkuu Tuko wewe unawatia hasira wenzetu:smile-big:.....Hili mwishowe watakujakutwambia ni moja ya matatizo ya muungano!!!
 
Inabidi wananchi tuoneshe umoja na mshikamano. Inakuwaje askari anampiga mwenzenu nyie mnabaki kumwangalia tu, kujitetea ni haki ya kila raia, kusaidiana katika madhila na uonevu ni muhimu pia vinginevyo tutabaki tukionewa na watawala dhalimu kila siku

Ukiwa na makosa siku zote hata usipotendewa haki huwezi kulalamika!
 
Back
Top Bottom