Mbangaizaji wa Taifa
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 493
- 844
Huenda ni kweli Mbowe hatakiwi na wengi ajitafakari aache kuendeshwa na hao COVID-19
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajumbe wanakataa kata kata kuendelea na MboweWajumbe wamekaza. Mpango wa Lissu kupeleka fedha mashinani unafaa sana. Sio mtu mmoja anastarehe halafu sisi vijijini tunateseka
Kuna mtu hataki kusoma alama za nyakati.. ngoja aje aanze kujutia kukaza shingo. Binafsi, niseme tu ukweli kwamba dingi wangu ni ccm damu na alikuwa hata diwani kwa awamu 3. Mwaka 2000, siku wananchi walipo chagua chadema, ndio nikajua ni nini wananchi wanataka, sasa na yeye FAM anasubiri mpaka abwagwe kwenye sanduku ndio akili zimrudie. Na dingi alikoma kabisa kuendelea na siasa baada ya hapo, ile heshima yake aliyojingea yote ikamwagika pwaa. Bila kusahau kwamba alikuwa pia hakimu mkuu wa Mkoa fulani hapa nchini, hiyo heshima yake pia aliibwaga baada ya wanahci kufanya maamuzi yao. Mbowe kama hataki, ndiko kinacho enda kumtokea asipo stuka mapema na kuacha TAL aendelee.Huenda ni kweli Mbowe hatakiwi na wengi ajitafakari aache kuendeshwa na hao COVID-19
View attachment 3185442
Nimeumia sanaKuna mtu hataki kusoma alama za nyakati.. ngoja aje aanze kujutia kukaza shingo. Binafsi, niseme tu ukweli kwamba dingi wangu ni ccm damu na alikuwa hata diwani kwa awamu 3. Mwaka 2000, siku wananchi walipo chagua chadema, ndio nikajua ni nini wananchi wanataka, sasa na yeye FAM anasubiri mpaka abwagwe kwenye sanduku ndio akili zimrudie. Na dingi alikoma kabisa kuendelea na siasa baada ya hapo, ile heshima yake aliyojingea yote ikamwagika pwaa. Bila kusahau kwamba alikuwa pia hakimu mkuu wa Mkoa fulani hapa nchini, hiyo heshima yake pia aliibwaga baada ya wanahci kufanya maamuzi yao. Mbowe kama hataki, ndiko kinacho enda kumtokea asipo stuka mapema na kuacha TAL aendelee.
Kukataliwa kwenye sanduku inauma sana. Nilijifunza ni vema kuachia wengine wakati bado unakubalika. Ndio siasa ambayo wengi hawaitaki.Nimeumia sana
Jini walilitengeneza wenyewe kwa kubadili Katiba yao, leo wanaliogopa na kulalamika kwanini lipo! Na mbaya zaidi wanaisingizia CCM. Kwani CCM ndio ilibadili Katiba ya Chadema ili Mwenyekiti ang'ang'anie madarakani?Mwaka huu CHADEMA watatoana macho kwa uroho wa madaraka
Huyu ni mpiga kura?Huenda ni kweli Mbowe hatakiwi na wengi ajitafakari aache kuendeshwa na hao COVID-19
View attachment 3185442
Kwani wewe ni mpigakura?Huyu ni mpiga kura?
Kama yapo hayo machoMwaka huu CHADEMA watatoana macho kwa uroho wa madaraka
Ikiuma zaidi SemaNimeumia sana
Mtu MZIMA ATISHIWI NYAU..😊😊Kuna mtu hataki kusoma alama za nyakati.. ngoja aje aanze kujutia kukaza shingo. Binafsi, niseme tu ukweli kwamba dingi wangu ni ccm damu na alikuwa hata diwani kwa awamu 3. Mwaka 2000, siku wananchi walipo chagua chadema, ndio nikajua ni nini wananchi wanataka, sasa na yeye FAM anasubiri mpaka abwagwe kwenye sanduku ndio akili zimrudie. Na dingi alikoma kabisa kuendelea na siasa baada ya hapo, ile heshima yake aliyojingea yote ikamwagika pwaa. Bila kusahau kwamba alikuwa pia hakimu mkuu wa Mkoa fulani hapa nchini, hiyo heshima yake pia aliibwaga baada ya wanahci kufanya maamuzi yao. Mbowe kama hataki, ndiko kinacho enda kumtokea asipo stuka mapema na kuacha TAL aendelee.
Swali halijibiwi na swali?Kwani wewe ni mpigakura?