milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Kwenye siasa nawe upo?Hivi Mbowe kwanini kaamua kujidhalilisha namna hii?
Huogopi kutukanwa matudi ya nguoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye siasa nawe upo?Hivi Mbowe kwanini kaamua kujidhalilisha namna hii?
Hakuna mwanamke asiyechepukaHivi Mbowe kwanini kaamua kujidhalilisha namna hii?
Machawa na wanufaika lazima mumtetee bwana wenuHapana hapana hapana, Mbowe bado ni bora zaidi ya Tundu Lissu, kwa mambo mengi mno, hata kidogo huwezi mlinganisha Mbowe na Lissu, nasema kwa uwazi, CHADEMA itapotea kabisa ikiwa chini ya Lissu..!! Mbowe bado tunamhitaji sana.
Waachie chama wafanye Maisha yake..Huenda ni kweli Mbowe hatakiwi na wengi ajitafakari aache kuendeshwa na hao COVID-19
View attachment 3185442
Mkuu 'Mbangaizaji', tukiweka pembeni huu ukorofi wa Mbowe kwa haya yanayo endelea, nadhani unayo sababu ya kumshukuru yeye Mbowe kwa kukupa jina ambalo linatuhusu wengi wetu. Wengi wetu tu 'Wabangaizaji'; tofauti kabisa na yeye Mbowe na hao wafadhili wake wanao mpa msukumo aendelee kutufanya wabangaizaji wa kudumu.Huenda ni kweli Mbowe hatakiwi na wengi ajitafakari aache kuendeshwa na hao COVID-19
View attachment 3185442
MadakoHizo fedha anazipata wapi mbona hajapeleka jimboni kwakwe wakati akiwa mbunge
Kelele zote zitaisha mwezi ujao!Kwani wewe ni mpigakura?
Hapana hapana hapana, Mbowe bado ni bora zaidi ya Tundu Lissu, kwa mambo mengi mno, hata kidogo huwezi mlinganisha Mbowe na Lissu, nasema kwa uwazi, CHADEMA itapotea kabisa ikiwa chini ya Lissu..!! Mbowe bado tunamhitaji sana.
Mbowe hana habari,tuko nae hapa moshi tunapiga makonyagi.
Chadema itapoteaje kabisa wakati miaka mitano ijayo Kuna option ya kumchagua mgombea mwingine?Hapana hapana hapana, Mbowe bado ni bora zaidi ya Tundu Lissu, kwa mambo mengi mno, hata kidogo huwezi mlinganisha Mbowe na Lissu, nasema kwa uwazi, CHADEMA itapotea kabisa ikiwa chini ya Lissu..!! Mbowe bado tunamhitaji sana.
“Ni Bora SLAA Awe Rais Kuliko TUNDU LISSU Kuwa MBUNGE Maana Anasumbua Mno Kwa HOJA Zake”Hapana hapana hapana, Mbowe bado ni bora zaidi ya Tundu Lissu, kwa mambo mengi mno, hata kidogo huwezi mlinganisha Mbowe na Lissu, nasema kwa uwazi, CHADEMA itapotea kabisa ikiwa chini ya Lissu..!! Mbowe bado tunamhitaji sana.
Kaongea point sanaHuenda ni kweli Mbowe hatakiwi na wengi ajitafakari aache kuendeshwa na hao COVID-19
View attachment 3185442
CHADEMA imekufa kabisaMwaka huu CHADEMA watatoana macho kwa uroho wa madaraka
Hili nalo neno, sasa chama kina stawi vipi kama mashina yana hali mbaya? Hiko chama kina sambaaje?Wajumbe wamekaza. Mpango wa Lissu kupeleka fedha mashinani unafaa sana. Sio mtu mmoja anastarehe halafu sisi vijijini tunateseka
Hii ni balaa jipyaHili nalo neno, sasa chama kina stawi vipi kama mashina yana hali mbaya? Hiko chama kina sambaaje?
He has a point