Msanii wa filamu tanzania (BONGO MOVIE), Munalove rafiki wa zamani wa wemasepetu, amesema kuwa anaumia sana kuwa na tattoo mwilini mwake zimekuwa maumivu makubwa sana na kupelekea kutokuelewana kati yake n mwanae, hivyo anatafuta sehemu ya kuzifuta kwani nae ameshaokoka.
Source: Muungwana Blog
Source: Muungwana Blog