Dada mpendwa. Nimrkusikiliza vizuri nimepata shauku vile Bwana Yesu alivyokupenda akakuokoa....wewe na mwanzo Patrick. Mungu asifiwe sana. [emoji108]Kwanza kabisa mahukuru sana Mungu kukuokoa. Ikiwa unafahamu VEMA maana ya KUOKOKA... Hapo ndipo sehemu Yako yakuanzia!!! Baada ya mtu KUOKOKA tu YOTE YALIOPITA HAYANA NAFASI TENA AU niseme ukiisha samehewa dhambi zote wewe umekuwa kumbe KIPYAAAAA YALE YAKALE HAYAHESABIWI!!! TENA!!!...AMINI 100% DHAMBI ZAKO ZOTE ZINAFUTWA UNAKUWA KIUMBE KIPYAAA. GANGA YAJAO TH. WAKATI UNAJICHORA AU VIPI ULIKUWA HUJUI! YESU AMEKUOKOA WWW KUKUPENDA KWA NEEMA YAKE. Dada hutahesabiwa hiyo kuwa dhambi hata siku moja. Kabla Mau hajaokoka amekuwa ametenda maombi mengi sana LAKINI KWA HUTUMA ZA YESU ANAKUOKOA AU KUKUSAMEHE DHAMBI ZOTEEEE. Hivyo nafsi yako isikuhukumu kabisa. Nakushauri ongea na Patrick kwa upendo ili aekewe tena nakushauri SANA UENDE kabisa kanisa p.a. Wokovu lile kwenye MAFUNDISHO YA UZIMA...EPUKANA N.A. MANABII. E.G. Mwone Mchungaji Kimaro wa hapo Dar ...au pale International Pentecost church Kinondoni...opposite na makaburi ya Kinondoni? Mimi niko mkoani ila niko tayari kusimama na kukusaidia wakati wo wote ni mama mtu mzima nilikutana na YESU miaka mi gi....0622 302006. Mungu akutetee kila iitwapo Leo.