VIDEO: Baada ya Kuokoka Tattoo zamtesa Munalove, huku Patrick kushikilia bango zifutwe

MAFUNDISHO YA UZIMA...EPUKANA N.A. MANABII. E.G. Mwone Mchungaji Kimaro wa hapo Dar ...au pale International Pentecost church Kinondoni...
Daah...yani hapa hapa unanadi biashara...??

Hivi nyie nani kawaloga
 



Duh

Hizi sanaa hizi!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
baada ya Makonda kudhibiti biashara ya unga wengi sana wataokoka mpaka Mbowe
 
Vyuma vimekaza, Malaya wote wameokoka. Wanaenda kuwatega wachungaji tuuu, hawana jipya
Biashara za madawa ya kulevya zilikuwa zinabeba tasnia ya burudani na muvi. Sasa biashara imekufa imebaki usanii na utapeli tuuu,
 
Hizo sarafu wazitoe kwa kina nani?
Ukimsikia uyo dada anavyo toa ushuhuda kuhusu uyo mtoto na maajabu yake basi soon uyo dogo atapambwa kama sheikh Sharrif vile na sasa ivi unaambiwa anaombea watu hakika atawapiga sana sarafu wajinga
 
Ukimsikia uyo dada anavyo toa ushuhuda kuhusu uyo mtoto na maajabu yake basi soon uyo dogo atapambwa kama sheikh Sharrif vile na sasa ivi unaambiwa anaombea watu hakika atawapiga sana sarafu wajinga
Hivi Sheikh Shariff yupo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…