nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
Ni nini mkuumhhhh kama nayoyasikia na kuyaona kwa mtandao ni kweli,basi corona imekuja kutuweka sawa yani si wa prado wala wa miguu wote sawa
UharoThe best speech ever kutoka kwa mkuu wa mkoa bora kabisa tangu hii nchi ipate uhuru,tumekaribia kufika nchi ya ahadi TUPO PAZURI MNOO,NARUDIA TUPO PAZURI MNOOO
Watakuja hapa vibaraka wa mabeberu kupinga lakini nakuhakikishia KISHINDO CHA AWAMU YA TANO kimegonga kote duniani na heshima ya nchi yetu imepaaa mnooo hata Nyerere hakufikia level hizi za JPM na team yake ya awamu ya tano.JPM OYEE,MAKONDA OYEEE,VIVA CCM MPYA.
Corona haina mbabe wala mjanja, wachina wameweza kutengeneza jua bandia wameshindwa kumpoteza coronaImeshamsalimia na yeye. Corona haipendi dharau.
Kwani imemfikia nayeye?Imeshamsalimia na yeye. Corona haipendi dharau.
Nasikia na yeye yupo karantini
Nyie akina ngosha mtakufa na gonjwa kwa ajili ya kusifia wajinga wenzenu.The best speech ever kutoka kwa mkuu wa mkoa bora kabisa tangu hii nchi ipate uhuru,tumekaribia kufika nchi ya ahadi TUPO PAZURI MNOO,NARUDIA TUPO PAZURI MNOOO
Watakuja hapa vibaraka wa mabeberu kupinga lakini nakuhakikishia KISHINDO CHA AWAMU YA TANO kimegonga kote duniani na heshima ya nchi yetu imepaaa mnooo hata Nyerere hakufikia level hizi za JPM na team yake ya awamu ya tano.JPM OYEE,MAKONDA OYEEE,VIVA CCM MPYA.
😂Corona haina mbabe wala mjanja, wachina wameweza kutengeneza jua bandia wameshindwa kumpoteza corona
alisema hata akifa azikwe Chattle, TUMETEKELEZA KWA KISHINDO.