Mdomo bakuli
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 3,442
- 7,007
Aiseee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha na video zipo ila siwez kuweka hapa mkuuKama hutaleta picha basi nayo hii ni story ya kusadikika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bongo kweli nyoso bongo balaa...gwajiwiseee[emoji23]
Ubaya ni kwamba kagegeda na video juu haladu yule sio mkeweMapadri tu ndio hawaruhusiwi kugegeda.
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Nakuchek sasa hiviDuh! Anyway ile siku ndio Leo fanya kunicheck hebu
Ungekua hutaki umbea hata kucomment usingecomment. Unaomba picha halafu unasema we sio mmbea? We mmbea kama mimi tu bwana.Sasa umeleta huu uzi wa nn bila picha???
Kwanza ww ni ke au me??
Hayo mambo ya umbea mbakie nayo hukohuko instagram sio huku.
Picha tatanishi mkuuUnaongeleaje picha za kupigwa bila kuziweka hapa kuongeza nguvu kwenye hoja yako?
Ishatupiwa insta huko! Aibu hii!
Hatari tupuMakonda anachekelea sasa
Hata mimi nilijua wamemtengeneza mtumishi wa Mungu. Kale kavideo kamemaliza yote. Yule dada nae jaambawazi sasa alikua anaguna nini wakati mwenzie anachukua videoBwana sikuamini Kama ni yeye...sema kuna kavideo kakusindikizia arooooo Mungu tutamuona kwa tabu Sana.
Hahahahaaaa.. Shikamoo mkuuYawezekana hiyo ni namna mojawapo ya mchungaji wa kiume kumpatia mwamini wa kike baraka hasa katika ndoa yake hasa ya kupata watoto.
Pia yaweza kuwa ni sehemu ya mafunzo kwa vitendo yanayolenga kudumisha ndoa au kuendea kufunga ndoa.
Wataweka tu watu. Whatsapp watu wanazo halafuWekeni hizo picha jaman