Video chafu ya Baba Askofu Josephat Gwajima Yavuja...

Status
Not open for further replies.
What a terrible pumba of Phd level!!
jibu na onesha pumba nami nitaonesha pumba za kichwani mwako na hao kina bashite.hoja hujibiwa kwa hoja sio ya kukaririshwa kuongea .jibu/kanusha kwa hona sio vihoja.
YUPO WAPI MSUDE?
 
Mkuu wewe ni kondoo wa bwana unaechungwa na gwajima nini?!?
 
Gwajima mnamuonea tu hiyo video siyo yeye kabisa yaani ni kuangalia mara moja unatambua kabisa ni editing maana kidevu na shingo havilandani kabisa
 
Mwenye hiyo video ani PM bc ili na mimi nipate cha kuongea..
 
Kweli mkuu, tunamtaka Mdude
 
Baba Askofu nooomaaa...Ana miguno ya hatareee...Na yale mauno sasaaa...Heheheee..!!
 
Hii nchi bhana yaan kila kitu connection kama huna connection huwezi kuipata hiyo video
 
Mbumbumbu wa Lumumba wanataka kuwaondoa Watanzania kwenye Mawazo ya Mwenzetu aliyetekwa kwa kuingiza hili Igizo la Gwajima.

Watanzania sio Wajinga Tunataka Selikali ya CCM kupitia Mwenyekiti wao wa Chama atuambie Watanzania ni lini Suala hili la Utekaji wa Raia atalisitisha, ama atoe hauli ya kukana au atuambie tujue anampango upi na Wananchi anaowaongoza, Yeye kama kiongozi wa Nchi hajawahi hata kugusia suala la watu kupotea wakati kila siku anajinadi kuwa anajua kila kinachoendelea nchi hii.

Tunaongonzwa na Mtawala nyenye maalifa kidogo sana pengine labda hata akili yake pia ni ndogo mno.
 
Kama kweli ni yeye, kwanini ajirekodi?
 
Shikamoo gwajima. Dah mtoto hataree
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…