Video chafu ya Baba Askofu Josephat Gwajima Yavuja...

Video chafu ya Baba Askofu Josephat Gwajima Yavuja...

Status
Not open for further replies.
What a terrible pumba of Phd level!!
jibu na onesha pumba nami nitaonesha pumba za kichwani mwako na hao kina bashite.hoja hujibiwa kwa hoja sio ya kukaririshwa kuongea .jibu/kanusha kwa hona sio vihoja.
YUPO WAPI MSUDE?
 
Gwajima mnamuonea tu hiyo video siyo yeye kabisa yaani ni kuangalia mara moja unatambua kabisa ni editing maana kidevu na shingo havilandani kabisa
 
Mwenye hiyo video ani PM bc ili na mimi nipate cha kuongea..
 
Kweli mkuu, tunamtaka Mdude
Mdude chadema ametekwa! hajulikani alipo ila waliyemteka wanajulikana ni walewale walotaka kumuua mh lisu, walomteka Gwanda Anzory, waliomua kamanda mawazo na sasa wamemteka ndude chadma.
ukitafKari kwa makini sana mpango huu unaratibiwa na watu wanaoitwa intelligency lakini wenye upeo mdogo kuliko watototo walivyo.
1) muda wa tukio,
tukio lilitokea wakati wa msiba wa mzee mengi. kwanini walijua katika kipindi hiki macho na masikio ya watu yatakuwa kwenye msiba wa mengi.
kosa: watu walitoka kwenye msiba wa Ruge juzi tu hapa walishazoea shamrashamra za misiba ya watu maarufu na pia clouds sio Itv katika uhamasishaji na usikilizwaji. kwa hiyo wengi hawakutilia manani sana msiba.kwa sababu hii tukio la MDUDE LIKASHIKA CHATI KAMA KAWAIDA.
2) Kutumia msiba;
nitamwita bwana zero, bwana bashite na polepole ni kama.watu waliokuwa wamejipanga vyema kutumia msiba ule kufifisha suala la kutekwa kwa MDUDE CHADEMA. alipopewa nafasi ya kuzungumza bwana polepole hakutia siasa nyingi zaidi ya kutaja uanachama wa marehemu japo halikuwa suala muhimu pale.. ni kama aliyemtegea mwenzake ili aje amjibu mbowe na kubenea. alipokuja bwana zero Bashite alilazimika sasa kufanya yale yaliyopangwa .
a) kuwagawa watu kwa makabila mf.. wachaga hawatoi pesa kusaidia watu? je jni makabila gani hayo yanayotoa pesa kusaidia watu? hapa alitaka watu wajadili kauli yake badala ya issue ya MDUDE CHADEMA watu wakampuuza.
b) kumwambia Kubenea amlipe mzee mengi madeni yake bila kutaja hayo madeni pia ni mpango mwingine uliopangwa kupooza issue ya kujadili issue ya MDUDE CHADEMA kama vile alivyofanya bwana dhaifu kule bungeni kutaja madeni ya Mh. lema kana kwamba yeye ndiyo anamdai .
makonda/Bashite na kapilima: baada ya kuondoka kwa viongozi wa kitaifa makonda /bashite alihakikisha anashikana mkono na kusalimiana na kapilima DG TISS anayetembea na Jiwe popote pale! hapa alitaka kuwatisha watu na kuonesha kwamba hakuna baya lolote lilotendwa na kapilima kupitia idara yake.ujinga mwingine wa bwana Bashite ulijionesha hapa.
GWAJIMA NA FUMANIZI:
Huu ni mpango uliosukwa kipuuzi sana na haujafanikiwa kwa lolote . chora mstari kati ya mahusiano ya makonda na gwajima utagundua.
a) issue ya vyeti: gwajima aliikomalia kweli mpaka dogo zero akakimbilia kanisani kwenda kulia matokeo yake...
b) uvamizi wa kituo cha Clouds na yote yaliyoendlea pale ( Nape kaonekana na January, nq Zzto jana hilo tutalijadili muda mwingine)
Gwajima hapo ameingia kama muhusika wa kutengenezwa lengo likiwa lilelile kuwagawa watu. tuache kuandili ya MDUDE Tujadili ya Gwajima.
swali ni je kweli gwajima kafumaniwa? jibu ni uongo; kilichomo kwenye mitandao ni picha za kuunga gwajima anaonekana yupo kifua wazi na hayupo na mwanamke yeyete ( fumanizi gani lile upuuzi) wa gwajima na makonda?
je? gwajima na makonda wana ugonvi tena.? Jibu ni hapana hawa ni marafiki wakubwa kama makonda na shehe wa dar.. makonda kamtumia gwajima kuzima issue ya MDUDE CHADEMA
gwajima kafumaniwa na nani? lini na wapi? nani alikuwepo na alipewa shariti gani aliloshindwa litekeleza hadi hao wagoni wake wakarusha picha! Kwanini police waingie haraka haraka kwamba watamhoji gwajima kesho? je alifumaniwa na nani ? alimwenda polisi kulalamika? je yule ni mkewe huyo mlqlqmikaji?
Mwisho.
bwana makonda unajua alipo mdude chadema umtoe.mbinu unazotumia kufichwa ukweli ni za kitoto na kishamba mnoo.Arudi Mdude akiwa mzima, salama na pole kwa ujinga
Usiku mwema.
ndimi niliyekuwepo msibani kwa mengi.
 
Baba Askofu nooomaaa...Ana miguno ya hatareee...Na yale mauno sasaaa...Heheheee..!!
 
Hii nchi bhana yaan kila kitu connection kama huna connection huwezi kuipata hiyo video
 
Mbumbumbu wa Lumumba wanataka kuwaondoa Watanzania kwenye Mawazo ya Mwenzetu aliyetekwa kwa kuingiza hili Igizo la Gwajima.

Watanzania sio Wajinga Tunataka Selikali ya CCM kupitia Mwenyekiti wao wa Chama atuambie Watanzania ni lini Suala hili la Utekaji wa Raia atalisitisha, ama atoe hauli ya kukana au atuambie tujue anampango upi na Wananchi anaowaongoza, Yeye kama kiongozi wa Nchi hajawahi hata kugusia suala la watu kupotea wakati kila siku anajinadi kuwa anajua kila kinachoendelea nchi hii.

Tunaongonzwa na Mtawala nyenye maalifa kidogo sana pengine labda hata akili yake pia ni ndogo mno.
 
Kuna Video zinasambaa zinazodaiwa ni za Askofu mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima

Hakuna binadamu aliyekamilika. Watu wengi wanafikiria kuwa mtu akiwa mtumishi wa Mungu au akiwa na vyeo vyovyote vya utakatifu basi hufikiri mtu huyo hatendi dhambi kama binadamu wengine, lakini ukweli ni kwamba wengi wao huwa na madhambi ya kutisha zaidi pengine kuliko hata wapagani ambao hawamjui Mungu , vitabu vitakatifu vinatufundisha kuwa tusijaji tusije tukahukumiwa.

Hao Hao wanaojiita wachungaji na watumishi , wengi wao wanafanya dhambi za kutisha.

Ukiacha nguvu za Giza anazotumiwa kushiriki Mchungaji gwajima, Leo kakwaa skendo nzito ya kufanya mapenzi na kujitecord akiwa kitandani akifanya uzinzi na mwanamke asiyejulikana.


Kweli Mungu wa makonda anajibu kwa wakati, huyu baba alijua kumtukana na kumdhihaki makonda, Leo uchafu wake wote uko nje, sijui ataweka wapi sura yake .

Ikumbukwe juzi juzi tu walipatana na makonda na kukumbatiana, ama kweli dunia hadaa na walimwengu shujaaView attachment 1090460
Kama kweli ni yeye, kwanini ajirekodi?
 
Ujinga walio ufanya ni kuruhusu kujirekodi video na kuivujisha,ninachoamini hakuna mwanaume mwenye ukwasi na aliye kamili ataruhusu mtoto Kama huyu kupita kwenye macho yake bila kumchombeza..

Ni ujinga kuamini watu wa mungu wao hawatendi dhambi ikiwa na wao pia ni binadamu Kama wengine, Japo hii video yako baba askofu imetuchanganya wengi na imekuwa vigumu kuelewa Kama ni deefpads( Artificial Intelligence) au halisi..Baba askofu hata Messi pia hii story imemchanganya, hakuwa sawa kabisa tangu hii taarifa kuvuja na kushindwa kujua Cha kufanya akiwa uwanjani

Lakini Baba askofu vyovyote iwavyo kwa hiki kifaa Mimi nitakuletea sadaka yangu tena kwa Mara nyingine, umeitendea haki kwa kuitumbua na hiki kifaa Cha kinyarwanda, tatzo yale mapigo baba askofu umezingua sana kile kifaa hukutakiwa uanze na kifo Cha mende na mauno yale ya speed ya 120uno/sec.., niliona hata mtoto aliondoka mchezoni hakutoa ushirikiano kabisa, japo sitaki kuamini Kama hajui kunyonga, naamini hukumuweka sawa baba askofu

Kilichonifurahisha zaidi baba askofu ulipokaribia kufika galilaya, uliunguruma Kama Simba wa yuda..hapa nikajua kabisa utukufu wa bwana umekushukia

Na wote tuseme Ameeen


View attachment 1091240View attachment 1091242
Shikamoo gwajima. Dah mtoto hataree
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom