Video chafu ya Baba Askofu Josephat Gwajima Yavuja...

Status
Not open for further replies.
Bado Kakobe naye watamtengenezea yake
 
Laana ya kuunga mkono juhudi ndio matokeo yake haya...
 
Gwajima mnamuonea tu hiyo video siyo yeye kabisa yaani ni kuangalia mara moja unatambua kabisa ni editing maana kidevu na shingo havilandani kabisa
Tafuta mtaalamu wa hapa bongo ajaribu kuedit kama unadhani ni kazi rahisi..
 
Watu hatuelewi.. Hamna technology ya CGI hapa bongo ya kuweza kuedit hivyo.. Mzee baba kadakwa anakula utamu, he's human afterall.
 
Yawezekana hiyo ni namna mojawapo ya mchungaji wa kiume kumpatia mwamini wa kike baraka hasa katika ndoa yake hasa ya kupata watoto.
Pia yaweza kuwa ni sehemu ya mafunzo kwa vitendo yanayolenga kudumisha ndoa au kuendea kufunga ndoa.
Bint alikuwa anatoa sadaka tu hakuna lingine
 
Hawa evangelicals wengi wasanii.

Kuna Evangelical anamzidi Jimmy Swaggart?- ilibumbuluka kuwa anatembea na malaya, akatubu na kulia mbele ya Madhabahu, miezi michache baadae akakutwa na Mwanamke ndani ya gari, akaulizwa mtumishi kulikoni?, akaijibu akawaambia "This is none of your business!"

Evangelical mwingine maaarufu sana aitwaye Shorrosh- alikamatwa na mamlaka huko Marekani kwa kutaka kuzitia moto nyumba zake mwenyewe ili adai Insurance!
 
Yaani mtu achepuke afu aji record kwa mtu wa Kariba yake?? Asiangalie reputation yake katika jamii?? Shetani anawatumia vibaya wana JF,jichungeni ,,, lol
Do you think wakati anajirekodi aliwaza kwamba itaonwa na jamii? Si ilikuwa kwa ajili ya his personal archives. Sasa video imevuja na his true colors zimeonekana and yet people think the video is fake. Such leaks hutokea mara kibao, ukiweza Google THE FAPTAIN utaona. Na hakuna technology ya CGI hapa bongo ya kuweza kuedit sura ya mtu ambae sie yake kama iliyotumika na Paul Walker kwenye movie yake ya The Furious 7 baada ya yeye kufa. So I strongly believe that video is LEGIT! Na obvious mhusika atakataa just like the rest of his disciples.
 

% ni yeye maana hata sauti ni yake ata kama atakataa alafu kwann uamini kuwa yeye hawezi kujirecord kwenye mapenz watu wanakuwa crazy au unajuaje yeye kujirecord ni fantacy kwake na anafurahia mtu unakataa kama nan ndo maana mnanyeshwa jiki mnaambiwa inatoa mapepo kwa sababu hampendi kuishughurisha akili kufikiri
 

Vipi kuhusu sauti au walimwambia agune
 


Tizama alivyochoka baada ya kushikisha mtu ukuta huku akiwaza misukule wengine wa kuwachezea wiki ijayo.
 


Hivi wewe ulifufuliwa lini na Gwajima, nahitaji faili lako. Dawa alizotumia kukufufua zili-expire ni sumu tu ndiye iliyoko kichwani mwako, unahitaji maombi zaidi.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…