Video chafu ya Baba Askofu Josephat Gwajima Yavuja...

Video chafu ya Baba Askofu Josephat Gwajima Yavuja...

Status
Not open for further replies.
Mungu atamlaani aliyetengeneza hio video,na wote mnaofurahia shetani anavyomtumia mtumishi wa Mungu kujihiridhisha Ukuu wake [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22],Mchungaji ni kipindi cha mapigano,utapita ,,, pigana.,[emoji22][emoji22][emoji22],sijaiona hio video Ila I’m sure aliyeitengeneza ni Lucifer mwenyewe!!!!!

Sasa wewe video hujaiona then unaropoka imetengenezwa, nyie ndo mnaoshikwaga Maxie's na gwajima mxieew
 
It’s just matter of time,,yes,,wait,,,,Mungu atajihidhirisha ukuu wake,,,,,,soon!...kama huamini soon utaamini....na hii post naiweka kama ushahidi! Najua bwana atatenda !

Hivi nyie washenzi mnamchukulia Bwana binamu Yenu eeh? Mfanye ushenzi wenu then mseme bwana atatenda, yani ningekua karibu na wewe ningekupiga nyundo ya kichwa ubongo ukae sawa inaelekea ubongo umehama sehem yake
 
Mbona picha ya kawaida hiyo, hakuna video hapo, tena picha ambayo hata mtu yoyote anaweza piga akaweka mtandaoni na isiwe kosa.
At least ungeweka link tuone hizo video ningeelewa.
Kuna Video zinasambaa zinazodaiwa ni za Askofu mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima

Hakuna binadamu aliyekamilika. Watu wengi wanafikiria kuwa mtu akiwa mtumishi wa Mungu au akiwa na vyeo vyovyote vya utakatifu basi hufikiri mtu huyo hatendi dhambi kama binadamu wengine, lakini ukweli ni kwamba wengi wao huwa na madhambi ya kutisha zaidi pengine kuliko hata wapagani ambao hawamjui Mungu , vitabu vitakatifu vinatufundisha kuwa tusijaji tusije tukahukumiwa.

Hao Hao wanaojiita wachungaji na watumishi , wengi wao wanafanya dhambi za kutisha.

Ukiacha nguvu za Giza anazotumiwa kushiriki Mchungaji gwajima, Leo kakwaa skendo nzito ya kufanya mapenzi na kujitecord akiwa kitandani akifanya uzinzi na mwanamke asiyejulikana.


Kweli Mungu wa makonda anajibu kwa wakati, huyu baba alijua kumtukana na kumdhihaki makonda, Leo uchafu wake wote uko nje, sijui ataweka wapi sura yake .

Ikumbukwe juzi juzi tu walipatana na makonda na kukumbatiana, ama kweli dunia hadaa na walimwengu shujaaView attachment 1090460
 
Mbona picha ya kawaida hiyo, hakuna video hapo, tena picha ambayo hata mtu yoyote anaweza piga akaweka mtandaoni na isiwe kosa.
At least ungeweka link tuone hizo video ningeelewa.

Mkuu video ipo kama hujaona sema nikutumie!
 
Kuna Video zinasambaa zinazodaiwa ni za Askofu mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima

Hakuna binadamu aliyekamilika. Watu wengi wanafikiria kuwa mtu akiwa mtumishi wa Mungu au akiwa na vyeo vyovyote vya utakatifu basi hufikiri mtu huyo hatendi dhambi kama binadamu wengine, lakini ukweli ni kwamba wengi wao huwa na madhambi ya kutisha zaidi pengine kuliko hata wapagani ambao hawamjui Mungu , vitabu vitakatifu vinatufundisha kuwa tusijaji tusije tukahukumiwa.

Hao Hao wanaojiita wachungaji na watumishi , wengi wao wanafanya dhambi za kutisha.

Ukiacha nguvu za Giza anazotumiwa kushiriki Mchungaji gwajima, Leo kakwaa skendo nzito ya kufanya mapenzi na kujitecord akiwa kitandani akifanya uzinzi na mwanamke asiyejulikana.


Kweli Mungu wa makonda anajibu kwa wakati, huyu baba alijua kumtukana na kumdhihaki makonda, Leo uchafu wake wote uko nje, sijui ataweka wapi sura yake .

Ikumbukwe juzi juzi tu walipatana na makonda na kukumbatiana, ama kweli dunia hadaa na walimwengu shujaaView attachment 1090460
Kwanza kabisa ondoa neno 'baba' yeye kajiita askofu. Pili ondoa neno Mtumishi wa Mungu. Dunia hii haina mtumishi wa Mungu. Ni lugha za kujivuna tu wengine matapeli kama huyu Gwajima. Wachungaji wa dini hizi huongozwa na kukosa aibu bila kujali maisha ya wengine, unategemea nini?
Jamaa hawa hupenda kujiita ni wasio na dhambi na kazi yao inakuwa ni kukemea wengine. Bahati mbaya sana kuna wenzetu walioamua kulawitiwa na watu wapuuzi kama hawa.
 
Gwajima kajimaliza kwa Upumbavu wake, sio kila sehemu ni kupiga picha u kurekekodi Video.
 
Kujirekodi amejirekodi. Kutuma mtandaoni ni suala lingine, hapo kwenye kutuma inawezekana kachezewa, wanasema one mistake one goal. Kama ilivyotokea kwa Amber Ruty na zile video zake, walijirekodi kwa matumizi yao, simu ilipoibiwa zikavuja. Kuna kocha mmoja Ulaya aliwekea wachezaji wake video waendelee kuangalia wakati wanamsubiri kwa zoezi la siku hiyo, aliporudi akakuta wanaangalia movie alilojirekodi akifanya mapenzi na mkewe, kumbe alisahau kuweka autoplay off kwenye laptop aliyokuwa anaonyeshea wachezaji video. Alijiuzulu siku ileile. Kwahiyo tabia ya watu kujirekodi ipo, tatizo liko kwenye kutunza hizo video na kuzuia zisidakwe na washakunaku.
Kule South Africa kuna waziri anaitwa Gigaba alijiuzulu kwa sababu ya scandal kama hii, na alikiri kuwa alijirekodi mwenyewe kwa matumizi yake
The minister had last month issued a public apology after his nude video was leaked online.
In his apology, he admitted to having filmed the video for private consumption, but that he lost control of it to hackers, whom he said have been using it to blackmail him since last year.
He revealed that the video was stolen when his cellphone was hacked in 2016/2017.
The 13-second video shows the minister playing with his genitals while saying some graphic words.
“I hope our nation will, someday, constructively engage with the question of whether it is correct to condone and promote the gross invasion of the privacy of others by distributing such material, more especially in the clear absence of a public interest justification,” he had said in his apology.


Kuna pastor mmoja huko Nigeria naye pia video zake zilivuja, na akakiri mwenyewe kwamba walikuwa wanazirekodi kwa matumizi yao na walikuwa nazo zaidi ya 10.
Speaking on their sex tapes, the G.O said they both had more than 10 sex tapes of themselves on each other’s phone as she enjoyed filming sex, stating how much he trusted her to the point of keeping money in her account. https://www.concisenews.global/2019/01/05/lekki-pastor-reveals-romance-scandal/

Kwahiyo Gwajima siyo wa mtu wa kwanza, wala siyo mchungaji wa kwanza, kujirekodi akila uroda. Na kilichowashinda wengine waliojirekodi kabla yake ndicho kilichomshinda Gwajima pia, kutunza usalama wa data.
 
Hivi nyie washenzi mnamchukulia Bwana binamu Yenu eeh? Mfanye ushenzi wenu then mseme bwana atatenda, yani ningekua karibu na wewe ningekupiga nyundo ya kichwa ubongo ukae sawa inaelekea ubongo umehama sehem yake

kaa hapo hapo uone...….
 
Sasa wewe video hujaiona then unaropoka imetengenezwa, nyie ndo mnaoshikwaga Maxie's na gwajima mxieew


dada,yaani wewe kwa kuwa umeiona video then ume conclude ni kweli??? sijui akili zenu ziko wapi...mxiewwww
 
Hivi nyie washenzi mnamchukulia Bwana binamu Yenu eeh? Mfanye ushenzi wenu then mseme bwana atatenda, yani ningekua karibu na wewe ningekupiga nyundo ya kichwa ubongo ukae sawa inaelekea ubongo umehama sehem yake
Huyu kiumbe kanishangaza na utetezi wake wa hovyo..

Hajaona video yeye kakomaa kupinga, kama siyo wakala wa shetani ni nani?
 
Yawezekana hiyo ni namna mojawapo ya mchungaji wa kiume kumpatia mwamini wa kike baraka hasa katika ndoa yake hasa ya kupata watoto.
Pia yaweza kuwa ni sehemu ya mafunzo kwa vitendo yanayolenga kudumisha ndoa au kuendea kufunga ndoa.
.
Inawezekana aisee!
 
Unajua mambo haya yanahitaji utulivu wa akili kuyapambanua. Bado mimi sijachagua upande. Ila kuna hila nyingi nyuma yake, kuliko uhulisia.
 
Do you think wakati anajirekodi aliwaza kwamba itaonwa na jamii? Si ilikuwa kwa ajili ya his personal archives. Sasa video imevuja na his true colors zimeonekana and yet people think the video is fake. Such leaks hutokea mara kibao, ukiweza Google THE FAPTAIN utaona. Na hakuna technology ya CGI hapa bongo ya kuweza kuedit sura ya mtu ambae sie yake kama iliyotumika na Paul Walker kwenye movie yake ya The Furious 7 baada ya yeye kufa. So I strongly believe that video is LEGIT! Na obvious mhusika atakataa just like the rest of his disciples.

moja; ni kiongozi wa dini

mbili;ni mtu mzima sio kijana wa dot com

tatu;;ni mume wa mtu

nne;baba wa watoto/familia...

hili 'profile' sio la mtu wa 'kujirecord' wakati 'akichepuka'!

I stand with Gwajima on this...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom