Mkewe huwa anafaidi, lakini Gwajiboy kafaidi kitu mpya nyeupe iliyonona, tofauti na nyeusi isiyonona uliyoizoea!!kwahyo kwa mkewe huwa hafaidi??si umemsikia mkewe akimtetea akisema anamfahamu sana mumewe...hahaa...!ila bidada alituangusha sana dah
YA pili ni Ipi MIMi Nimeiona ile ambayo mlalwa hajishughulishi wala kukata mauno KALALA Kama mojaMbona zimetoka mbili na sio moja!!
Mkewe huwa anafaidi, lakini Gwajiboy kafaidi kitu mpya nyeupe iliyonona, tofauti na nyeusi isiyonona uliyoizoea!!
Mbunge wa kawe huyu anamuogopa kondaNi kuwa Gwajima ana influence kubwa katika jimbo la Kawe, waumini wake wengi ni wakazi wa jimbo hilo. Mgombea ubunge wa jimbo hilo akiwa na support ya Gwajima ana nafasi kubwa ya kuwa mshindi. Halima Mdee kila mwaka huwa ana support ya askofu na hela za kampeni huwa anapewa.
Kuna binadamu analitaka hili jimbo, ameamua ku black mail Gwajima. Zile clip za video ziko 3, hiyo ya pili na ya tatu ni mbaya zaidi. Gwajima ameambiwa asipotoa ushirikiano kwa huyu binadamu na CCM kutwaa ubunge zile mbili zitaachiwa.
Walimtega kwa mtoto mzuri, kumbe wanajua weakness yake ni kupenda kula kondoo walionona.
Ni kweli mkuu,,mana kondoo wa bwana hajaonyesha suraAlivyomjinga kaonyesha sura yake tu
muumini huyo ana imani kali kwa askofu wake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo unadhani imetengenezwa?? Dah
Kumbe dada ni muongo hiviii??!!Ni kuwa Gwajima ana influence kubwa katika jimbo la Kawe, waumini wake wengi ni wakazi wa jimbo hilo. Mgombea ubunge wa jimbo hilo akiwa na support ya Gwajima ana nafasi kubwa ya kuwa mshindi. Halima Mdee kila mwaka huwa ana support ya askofu na hela za kampeni huwa anapewa.
Kuna binadamu analitaka hili jimbo, ameamua ku black mail Gwajima. Zile clip za video ziko 3, hiyo ya pili na ya tatu ni mbaya zaidi. Gwajima ameambiwa asipotoa ushirikiano kwa huyu binadamu na CCM kutwaa ubunge zile mbili zitaachiwa.
Walimtega kwa mtoto mzuri, kumbe wanajua weakness yake ni kupenda kula kondoo walionona.
Sky mheshim gwajima amesaidia sana kuyashusha ma SSMKuna moja mpaka kile kinachomfanya aitwe mwanaume kinaonekana
ππΎSky mheshim gwajima amesaidia sana kuyashusha ma SSM
Muumini wa Ngwaji unajaribu kupotezea.. hakuna uwongo pale... hiyo tech ya ku edit vile haijafika ....Kitu ambacho siyo cha kweli huwa hakivumi
Umenifanya nicheke kwa sauti aiseeNimegundua ni kwanini Baba askofu haongozani na mkewe kila mahali. Yule mama ni wife material.
Wameedit nini pale ewe mfuas WA gwajimaIle bwana ni yakuedit sisi siyo wajinga
Wame edit hiyo videoKumbe nikuwa sijawahi kuiona basi mdee mapeeeema mbunge
Kina nani hao!?Wame edit hiyo video
Kaka! Vp sasa kawe ndiyo huyo mwamba wa kubinuka kasimama. TunafanyajeWameedit nini pale ewe mfuas WA gwajima
WamekatwaKina nani hao!?
Je,Walikamatwa?