WALDO
JF-Expert Member
- Mar 15, 2019
- 392
- 375
unapenda slow motionTawile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unapenda slow motionTawile
Haya mambo bhana,, tuyaacheni tu kama yalivyounapenda slow motion
***** hio ata Gangsta lazma apige ujicho
Kwa jamaa kama ni kweli anapenda kuwabandua waumini thats the only way atakuwa safe kwa mda wote. Akijitia sifa anaondoka na umeme chap!Hahah na ndio maana kuna masela walishaamua wao ni wazee wa slow mooo na dakika 5 ameshamaliza mambo anasepa zake,hahah.
Na mimi mpenzi
Nitaamini nikiona video. Picha hiyo waokote wajinga.Kuna Video zinasambaa zinazodaiwa ni za Askofu mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima
Hakuna binadamu aliyekamilika. Watu wengi wanafikiria kuwa mtu akiwa mtumishi wa Mungu au akiwa na vyeo vyovyote vya utakatifu basi hufikiri mtu huyo hatendi dhambi kama binadamu wengine, lakini ukweli ni kwamba wengi wao huwa na madhambi ya kutisha zaidi pengine kuliko hata wapagani ambao hawamjui Mungu , vitabu vitakatifu vinatufundisha kuwa tusijaji tusije tukahukumiwa.
Hao Hao wanaojiita wachungaji na watumishi , wengi wao wanafanya dhambi za kutisha.
Ukiacha nguvu za Giza anazotumiwa kushiriki Mchungaji gwajima, Leo kakwaa skendo nzito ya kufanya mapenzi na kujitecord akiwa kitandani akifanya uzinzi na mwanamke asiyejulikana.
Kweli Mungu wa makonda anajibu kwa wakati, huyu baba alijua kumtukana na kumdhihaki makonda, Leo uchafu wake wote uko nje, sijui ataweka wapi sura yake .
Ikumbukwe juzi juzi tu walipatana na makonda na kukumbatiana, ama kweli dunia hadaa na walimwengu shujaaView attachment 1090460
Sasa mbona Mimi sijapiga ujicho Arifu
Picha limeanza jamaa alimuombeaYaan, mi mwanzoni nilijisemea huyu atakuwa sio yeye. Ila pale mwisho mwisho lile sauti ni lake kbs
Kamanda jukwaa la wakubwa lilifutwa @maxencemeloNenda fasta jukwaa la wakubwa kajionee baba askofu anavyotafuna mwanakondoo wake live bila chenga
Tena anajirekodi mwenyewe
😂😂😂😂😂😂😂😂 ningekutumia ila nimefunga mwanangu ngoja tufuturu kwanzaWabongo sisi ni wanafki wakatili wenye roho mbaya haiwezekan mpaka Leo video ya Mariam biriani sjaiona pamoja na kuomba kote kule basi nahii isinipite wadau fanya kuipasi chemba pm Kama kuna mdau anayo
Uchoyo na ubinafsi tukiuendekeza utaturudisha nyuma kimaendeleo
Sambaza upendo kuwa mzalendo
Kama video zimezagaa mitaani mbona wewe huna na hujaweka hapa tuzione?Video zimezagaa mtandaoni zikionyesha baba Askofu Gwajima akiwa faragha na mwanamke , mbaya zaidi video hizo zinaonyesha baba Askofu akijirekodi mwenyewe akiwa na mwanamke huyu.
Sasa haieleweki Kama amepoteza simu yake na wahuni kusambaza au Nini kimetokea video hizo kuvuja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nataka nihakikishe kwa macho yangu maana tulijua ni mwenzetu tunaenda wote mbinguniMtumishi Nimecheka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
umeoina hiyo showHaya mambo bhana,, tuyaacheni tu kama yalivyo
oya kamanda jumapili twende kanisan kwake tukapate maufundi aisee.Wajinga ni wengi sana duniani kuliko wajanja Chifu
Ni mtamu balaa .kanona sana kiunoni nadhani ana kitu kimenona kitamu balaaBaba askofu anakata mauno balaa
😂😂😂😂😂😂😂😂 ningekutumia ila nimefunga mwanangu ngoja tufuturu kwanza
Bado sijaionaumeoina hiyo show
Sisi tulio huku nje tunaipataje?nirushie mkuuhii video isipokuwa video ya mwaka basi ni wivu tu, Sio kwa miuno ile ya kitakatifu,gwaride lile ni mguu upande mguu sawa, anti ni mrefu hakuwa kikwazo, mapepo yalikuwa yanakemewa na nyoka mkakamavu katika jina la utamu🙂 🙂