Video chafu ya Baba Askofu Josephat Gwajima Yavuja...

Video chafu ya Baba Askofu Josephat Gwajima Yavuja...

Status
Not open for further replies.
Vijana wa Bashite naona wameshakuja kuandaa mazingira ya boss kulipa kisasi,sahaulisheni tu kuhusu Mdude Chadema kwa kumuita central Gwajima!!
 
Kwa clip hii niloyoiona mtandaoni nadhani TCRA hawana budi kufafanua kwa haraka na haki itendeke.
Naona makonda amekuajir kumchafua gwajima utapotea na makonda wako mpuuzi wewe.
 
Askofu Kakobe ba Gwajima sasa washikamana kikamilifu na serikali waachana na porojo za chadema!!

Tulijua after this kuna kitu kitatokea, sasa hawana haja ya mkojo wake Bali mahakamani moja kwa moja, na udhalilishaji ukimfuata mbeleyake, we introatectives foreknew kiratachotokea, maaskofu bado vipofu na hawajui!!
 
Gwajima anajua kumbatooo yule mzee khaaa[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji973][emoji973]KUHUSU PURPOTEDLY "VIDEO CHAFU" YA GWAJIMA

Kuna video inasambaa kwenye mitandao ya kijamii ambayo watu wanasema ni ya Gwajima. Nilikuwa ofisini leo, rafiki yangu akaja na kusema, "Umeona Gwajima alichofanya?"

Nimeiangalia ile video lkn kwa sekunde chache tu nimegundua kuwa ni "fake video." So nikabidi nimpe soma yule kijana ile asiamini kila kitu kinachorushwa mitandaoni.

Now allow me to elaborate (nifafanue) kwanini nashawishika kusema kuwa ile video SIO ya Gwajima.

Kuna kitu kitaalamu kinaitwa "photoshopping," ambacho huyu jamaa alijaribu kukitumia lakini akashidwa ku-excute vizuri. Basically, Photoshopping is the process of altering (a digital image) with Photoshop software or other image-editing software especially in a way that distorts reality (as for deliberately deceptive purposes).

Kwa tafsiri ya Kiswahili, hiki ni kitendo cha kubadilisha picha kwa kutumia software maalum za kuhariri picha kwa kusudi la kupotosha kwa ajili ya kufanya udanganyifu wa makusudi.

1). Alichokifanya huyu jamaa aliyetuma hizi picha ni kuchukua video halisi ya Gwajima (ile video ya kwanza aliyokuwa amepumzika kitandani kifua wazi), halafu akaamua kulaghai umma kwa kuweka chini yake video nyingine za mtu tofauti kabisa (anayefanana kwa mbali na Gwajima), ili kuwaaminisha watu kuwa aliyepo kwenywe ile video ya chini ni Gwajima. Kwa mtizamo wangu binafsi aliyeko kwenye video ya pili sio Gwajima.

2). Hebu ichunguze video ile kwa makini. Utagundua (angalia angle ya Camera), kuwa ile video ilikuwa inarekodiwa na mtu mwingine tofauti na Gwajima. Evidence: Kwanza hakutaka sura ya "fake Gwajima" ionekane. Why? Kwasababu alijua akimulika Camera direct usoni kwa huyo anayesemwa kuwa ni Gwajima, watu wenye akili timamu watagundua kuwa sio Gwajima yule. So alichokifanya alikuwa anakwepesha Camera ismulike usoni.

3). Gwajima ni mtu mjanja sana hawezi akaruhusu afanye mapenzi hali akijua kuwa ana maadaui wengi sana wasiomtakia mema huku akiruhusu mtu mwingine arekodi video. Hata kama ni mimi nisiye na maadui wengi wa kisiasa nisingweza kufanya such a rockie mistake. Kwanini nasema vivyo? Nasema hivyo kwasababu, ukiangalia ile video vizuri, utaona kuwa kuna kipindi mtu aliyekuwa anarekodi alikosea kidogo Camera ikamulika usoni kwa "fake Gwajima".... then faster, "fake Gwajima" akanyoosha mkono kukinga ili asionekane usoni. Sasa kama kweli alikuwa Gwajima, kwanini video ya kwanza (ambayo haisusiani kabisa na hii ya uchafu wa kijinga unaosambaa mitandaoni, yaani video ya pili) ghafla aamue kuficha sura hali ameshajiachia na kujionyesha kwenye video ya kwanza? Think people! Acha mihemuko!

4). Kingine, yule Binti aliyeko kwenye picha ya kwanza ni kaportable fulani. Mwembamba mwenye superb figure. But huyu aliyeko kwenye hii "fake video" ya pili ananekana ana kitambi / katumbo. Wapi na wapi mazee....!!

Aliyefanya huu ushenzi inabidi asakwe alafu afungwe miaka mingi sana ili suala kama hili lisijirudie tena!

I rest my case. You decide.

Me, Gustanza the Great.
Wewe uko kundi la wapokea sadaka wa Gwajima. Hana ujanja wowote mbele ya papuchi wacha kutulisha matango pori hapa. Umesikia alivyokuwa anaweweseka wakati wa ku... lakini? Halafu ukileta mambo ya photoshop hapa utawadanganya wajinga tu... Kwenye ile Clip ndefu wakati ana set ile kamera alijimulika usoni kabisa na anaonekana ni yeye.
 
Aisee..yaani bado hujapata mali hadi saivi??[emoji23][emoji23]
Tumia Id ya kike chief kuipata tofauti na hapo utasota sana, tangia asubuhi naitafuta bila mafanikio mijamaa ukiitumia Pm inakausha kama vile haikuoni vile, nimeamua niisubirie kule Xvideos niinyakue bila urasimu
 
Mimi sijaiona hiyo naiomba inbox ili niweze ku-comment
Mkuu kupiata hiyo video inabidi uwe na connection!
Bila hivyo endelea kufutilia masimulizi tu ya viuno na miguno ya baba askofu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom