Video chafu ya Baba Askofu Josephat Gwajima Yavuja...

Video chafu ya Baba Askofu Josephat Gwajima Yavuja...

Status
Not open for further replies.
View attachment 1091064

Kwa wale wafuatiliaji wanajua hii picha hapo juu ilivyoleta shida kimataifa lakini ilifanyiwa manipulation kutoka kwenye picha ya pili iliyoko katikati hapa chini kwenda ya mwishoni kulia.Wazee wa intelligence wanajua "you will always leave a trace" ila trace zinakuwa minimum kufuatana na elimu yako na utaalam wa jambo husika.

View attachment 1091069


Kwa wale msio na macho pambaneni,juu ya mkono wa kiongozi wa Irani kuna kifungo katika background ya mtu aliyekuwepo walio edit walisahau kuondoa hiyo kitu,wakaweka picha ya mwanamke ikaonekana mkuu anambusu mwanamke kinyuma na sheria za nchi yake.
Watalaa wa photography analysis waligundua,ninachotaka kusema hapa hizo video zikiwa available ukweli utajulikana na amabo mmeziona msiwe wepesi wa kuconclude kwamba ni za kweli wakati uwezo wa kuverify hamna.Hapa nasema hivyo kwa maana mchungaji Gwajina naamini ana maadui nadni na nje ya Tanzania.
Wazee wenye fani zao wakichunguza hiyi video watajua kama kuna mambo ya kubebanisha video moja juu ya nyingine kama ambavyo kwenye picha kuna mambo ya layers.
Watu wa uswazi kwa maana wasiojua haya mambo ya technologia acha waamini lakini hapa JF we go the extra mile.
Angalau naona mtu akitafakari kwa upeo wa kiintelijensia kuliko kuamini kila kilichopo mtandaoni
 
Go straight,speak louder,what do you intend to air? There is no space for assumption everyone saw Gwajima **** that white pussy so hard while crying eheeeeeeeeeee!!!

Kitengo mmeishiwa mbinu, katafuteni mafamba wajadili huo upuuzi.
 
Palipo na ukweli uongo hujitenga! Kwa hisia zangu ya enzi za Mwigulu na Lwakatare ni haya haya tu muda utasema!
 
Yaani hata kupata video ya ngono pia lazima uwe na connection. Bongo kweli bahati mbaya.
 
Nyie ndio wale mnaonyweshwa jiki na deto huko makanisani kwakuwa mmeamini ktk miujiza, yaan kwa akil yako unadhani kuwa yeye hawez kufanya jambo kama hili kweli utalishwa sana majan
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom