Ha ha ha so amazing. Hapa mtu naweza zimia walah. Kha!. Ila kastory kao katamu acha. Kamefanya siku yangu nicheke mpaka jioniHebu tuangalie hii marriage proposal tuone kama hapa kwetu inawezekana
Teh teh teh! Hapo kwenye kulia hata mimi huwa nashangaa, lakini nafikiria inatokana na furaha au kutokuamini kabla kama kweli itatokea hivyo. Nimeona hata siku ya ndoa watu wakilia ... Ni hisia za furaha tu, kwamba kumbe ni kweli imetokea.
Ila hizo za wazungu unaweza ku copy ukaishia kuwa disappointed!
Duh! Hii kali aisee.wengine wanalia na mengi, unadhani kazi ya kuukeshea mtalimbo ni ndogo....lazima ulie