VIDEO: Chupa zikirushwa baada mzee wa "Bugaa", kuingia mitini

VIDEO: Chupa zikirushwa baada mzee wa "Bugaa", kuingia mitini

Kwani huyo dogo kafanyaje??
Sio wote tupo daslam, twitter, au insta

Lete habari kamili basi.

Karushiwa chupa kisa nini??
Kaumia/kudhurika maana hiyo michupa inayopasukia jukwaani ni hatar!?
 
Ana tabia za dadaake, yaani kashindwa kupanda jukwaani kisa kakosa nguo za kupendeza!
 
Acha akapambane na manyapara huko nyuma ya nondo wamkumbushe" NO SLEEP, NO SLEEP WAKE UP!"
 
Back
Top Bottom