njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Naama kijana mwenye maringo ya kutosha Kizz daniel anaendeleza zile tabia zake na saafari hii kafanya yake jijini dsm
weee unaambiwa warembo ndiyo walikuwa warusha chupa wakubwa
Nina video nzima nilikuepo eneo la tukio! Watu walimind sana
Naomba clip hiyoNina video nzima nilikuepo eneo la tukio! Watu walimind sana
Aisee mmepigwa helaNina video nzima nilikuepo eneo la tukio! Watu walimind sana
Mkwe ulikuepo?KD anajibaribia music wake. Nigerians wanamsakama muda huu mitandaoni kwa hiyo tabia yake