Video: Dakika 31 za Askofu Benson Bagonza - KKKT - Dayosisi ya Karagwe akitoa maoni yake mkataba wa bandari zetu

Uzima Tele

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2023
Posts
1,270
Reaction score
2,822
Kwa ujumla ujumbe wake ni "Rushwa ndani ya serikali ndiyo sababu ya kwanini tunalumbana kama taifa leo kwa sababu ya mkataba huu"

Mtazame na kumsikiliza mwanzo mwisho kwenye video hiiπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Your browser is not able to display this video.
 
Mb 48 famasiala nini

Ila bila shaka huyo mzee amemwaga madin.
 
Wasomi wote manguli wako upande wa wananchi!

Hili la bandali lisifanyiwe masikhala! Litamwondoa mtu kwenye kiti
 
Tema sumu. Nyoka watetezi mnaanza kutema sumu km chatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…