VIDEO: DC Jerry Muro akimkaripia Dkt. Wilson Mahera ambaye kwa sasa ni Mkurugenzi wa Uchaguzi. Je, vetting ilifanyika kwa usahihi?

VIDEO: DC Jerry Muro akimkaripia Dkt. Wilson Mahera ambaye kwa sasa ni Mkurugenzi wa Uchaguzi. Je, vetting ilifanyika kwa usahihi?

Nawaza tu huyu mtu alipataje huu ukurugenzi wa NEC cheo ambacho kinahitaji mtu wa kujiamini kweli kweli. Katokea wapi huyu mtu?
Je, vetting ilifanyika sawasawa kabla ya uteuzi? Tutegemee jipya gani?

😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲
 
Back
Top Bottom