Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulevi umesababisha ajali?Tatizo liko wapi kwani? Au madereva wa serikali hawaruhisiwi kulewa?
Hiyo ni ajali tuu kama zingine.....
Uliyetupia kideo hii ujue kama suka wa serikali alikula pombe muda wa kazi utakua umemfukuzisha kibarua.Contributory negligence.
Oya dogo mambo mengine Uwa unapotezea tu. So poa kumuanika hugo mwamba.Dereva wa Gari lenye namba za usajili STL 8852 akiwa kwenye hali ya ulevi amesababisha ajali kwa kumgonga Dereva wa Pikipiki.
ANGALIA HAPA VIDEO
View attachment 2893301
Nini maoni yako?
Written By Mjanja M1 ✍️
Hapo kimeumana lazima watampima Alcohol kupata EvidenceKiserikali hapo, huo sio ushahidi kuwa jamaa yuko tooop! Weka ushahidi, ndo hiyo videos?
Mpaka wafikie huo uamuzi, ujue jamaa hana mahusiano mazuri na wenzake/viongozi huko kazini!Hapo kimeumana lazima watampima Alcohol kupata Evidence
Dereva wa Gari lenye namba za usajili STL 8852 akiwa kwenye hali ya ulevi amesababisha ajali kwa kumgonga Dereva wa Pikipiki.
ANGALIA HAPA VIDEO
View attachment 2893301
Nini
Angekuwa ndugu yako wa karibu hii imemfika na kaanza kurushwa huku jukwaani ungejisikiaje,vingine viwe vinapDereva wa Gari lenye namba za usajili STL 8852 akiwa kwenye hali ya ulevi amesababisha ajali kwa kumgonga Dereva wa Pikipiki.
ANGALIA HAPA VIDEO
View attachment 2893301
Nini maoni yako?
Written By Mjanja M1 ✍️
Vingine viwe vinawapita aisee,huo sio uungwana.Dereva wa Gari lenye namba za usajili STL 8852 akiwa kwenye hali ya ulevi amesababisha ajali kwa kumgonga Dereva wa Pikipiki.
ANGALIA HAPA VIDEO
View attachment 2893301
Nini maoni yako?
Written By Mjanja M1 ✍️