bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Hata energy drink zinawamaliza sana maderevaNa zile sumu za pale ABC karibu na tazara nasikia zinaua sana wafanyakazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata energy drink zinawamaliza sana maderevaNa zile sumu za pale ABC karibu na tazara nasikia zinaua sana wafanyakazi
ABC upande wa Tazara kama unaenda Vingunguti?Na zile sumu za pale ABC karibu na tazara nasikia zinaua sana wafanyakazi
Nime Google ni mpakani mwa DRC na Zambia upande wa DRC
1, dereva anaweza beba mzigo wenye kemikali au sumu, halafu analala kwenye cabin, ile sumu inamuua taratibu usingizini.
2, dereva Kila sehemu akisimama anakula kitu, anaweza kula sumu bila kujua.
3, mmiliki wa gari ameizindika gari yake kuipa ulizi, dereva nae anaenda kujizindika kujipa ulinzi binafsi, mambo yakikutana dereva anazidiwa na kupoteza maisha.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
YesABC upande wa Tazara kama unaenda Vingunguti?
KumbeHata energy drink zinawamaliza sana madereva
Kwamba marehemu hakuwa na karatasi yoyote?Dereva wa Lori Mtanzania akutwa amekufa kwenye cabin ya gari yake huko Mukambo.
Alikuwa anaendesha gari yeye namba za usajili T 692 EDC mali ya kampuni ya Inara Investments( Tanzania) Ltd.
Mwili wake umehifadhiwa polisi Mukambo border kwa ajili ya kuwatafuta ndugu na jamaa zake .
Video inatisha kidogo.
Hizi energy drink zinaweza kumuua dereva tit for tat?Hata energy drink zinawamaliza sana madereva
Nilichofanya ni kujaribu kueleza Mukambo ipo wapi na si uniform, plate number au lugha.Kwa kuitizama video, Haiwez kuwa congo hapo,
1.uniform za polisi wa zambia
2. plate number kwenye gari ndogo ni ya Zambia pia
3. Wanasikika wakizungumza Bemba (Ligha ya Zambia) na kiswahili chenye lafudhi hiyo pia kwa baadhi ya wazungumzaji.
Vifo vya ugenini vina mengiHii inshu ya sumu imekaaje wakuu..nasikia madereva wanakufa sana.
Wabongo mmeshindikana.Nimelia sana