VIDEO: Dereva wa Mwendokasi agoma kuendesha bus akidai katukanwa

VIDEO: Dereva wa Mwendokasi agoma kuendesha bus akidai katukanwa

Thanks God am among the 1% yani nikitoka kwenye mansion yangu Malibu limo inanisibiri sijawahi kufungua mlango. Baada ya hapo ni Gulf stream private jet.

Natamani kung'atwa na mbu na kunguni i feel the experience licha ya kung'atwa natamani pia kuwaona hawa wadudu pamoja na mende, nzi, chawa na viroboto with my own naked eyes.

HIMARS Mzee Shirimaa Aikambee
 
Bora ye aligoma mwingine angeua mtu
Tuache kudhalauliana kujifanya wewe bora kuliko mwenzako
 
Atakuwa ametokea Mkoani,mbina naona hapa Dar hata Mama anamuita Binti yake Msenge na Wazee wengine huwa nawasikia wanawaita vijana wao we msenge njoo hapa.

Naona hill neno msenge Dar ni kama neno LA kawaida,ila kule Musoma kwetu ukimwita hivyo MTU lazima jamaa akurudie na bapa la panga.
 
Muwe nao makini tu mnapowatukana hivyo kwani 90% ni Wajeda ( JWTZ ) na kuna Mmoja ni Dereva wa Basi za Morocco Kivukoni huko Jeshini ametokea Kikosi cha Mabondia na anapiga zile Ngumi za Kijeshi ( za Kuua ) tu na siyo hizi za huyu Mpuuzi wenu Mandonga ambazo zake zimekaa Kikomediani zaidi.

Msije kusema sikuwaonyeni mapema.
 
Hakuna tusi duniani,kilaneno unalotamkiwa ni wewe tu vile unalichukulia uzito....hata utamkiwe vipi always be u
 
Kuna mmoja alirudisha gari gerezani tulikuwa tumeshafika fire tunaenda kimara kisa eti watu wamezuia mlango kufungukaa..??[emoji1][emoji1][emoji1] hao madereva sijui wanajikutaga kina nanii yani ni moja wa wafanyakazi wapuuzi sana hii nchi utadhani magari ni yaooo.... wanajikuta na vihasira uchwaroo na kuzira kama wanawake.
 
Kuna mmoja alirudisha gari gerezani tulikuwa tumeshafika fire tunaenda kimara kisa eti watu wamezuia mlango kufungukaa..??[emoji1][emoji1][emoji1] hao madereva sijui wanajikutaga kina nanii yani ni moja wa wafanyakazi wapuuzi sana hii nchi utadhani magari ni yaooo.... wanajikuta na vihasira uchwaroo na kuzira kama wanawake.
Wengi wao watakuwa hawafiki kileleni ndio chanzo za hizo hasira zao.
 
Back
Top Bottom