VIDEO: Dereva wa Mwendokasi agoma kuendesha bus akidai katukanwa

VIDEO: Dereva wa Mwendokasi agoma kuendesha bus akidai katukanwa

Mkurugenzi wa mwendokasi si ndo yule alokua kamishna wa TRA somebody Edwin? Sidhani kama atawashughulikia na anastress zake
 
Kuna mmoja pale morocco hatukushuka tulitaka tugeuke nalo maana usafiri ulikuwa wa shida wengi walipandia mwanamboka na B ili wageuke.
baada ya kugoma kushuka akatuambia anatupeleka kariakoo badala ya kimara. Aisee tulidhani anatania bwana!
 
Kuna mmoja pale morocco hatukushuka tulitaka tugeuke nalo maana usafiri ulikuwa wa shida wengi walipandia mwanamboka na B ili wageuke.
baada ya kugoma kushuka akatuambia anatupeleka kariakoo badala ya kimara. Aisee tulidhani anatania bwana!
Akili nyingi
 
Panda gari la feri - Mbagala mida ya mchana. Nenda kakae nyuma kabisa gari likiwa limejaa. Mkifika kona ya bandari mwambie Konda unashuka mivinjeni.

Usisahau kuleta mrejesho!
Maana yake nini?
 
Atakuwa ametokea Mkoani,mbina naona hapa Dar hata Mama anamuita Binti yake Msenge na Wazee wengine huwa nawasikia wanawaita vijana wao we msenge njoo hapa.

Naona hill neno msenge Dar ni kama neno LA kawaida,ila kule Musoma kwetu ukimwita hivyo MTU lazima jamaa akurudie na bapa la panga.
Ahahha ni kweli temeke matusi kwa watu ni kawaida hap penyee niliko vijan na wazee wanapasuliana matus mazito hadi naona aibu
 
Muwe nao makini tu mnapowatukana hivyo kwani 90% ni Wajeda ( JWTZ ) na kuna Mmoja ni Dereva wa Basi za Morocco Kivukoni huko Jeshini ametokea Kikosi cha Mabondia na anapiga zile Ngumi za Kijeshi ( za Kuua ) tu na siyo hizi za huyu Mpuuzi wenu Mandonga ambazo zake zimekaa Kikomediani zaidi.

Msije kusema sikuwaonyeni mapema.
Hao wajeda zingekuwa ngumi zao zinaua wangeshaenda kujiandikisha kupigana na Mayweather wawe ma bilionea
 
Muwe nao makini tu mnapowatukana hivyo kwani 90% ni Wajeda ( JWTZ ) na kuna Mmoja ni Dereva wa Basi za Morocco Kivukoni huko Jeshini ametokea Kikosi cha Mabondia na anapiga zile Ngumi za Kijeshi ( za Kuua ) tu na siyo hizi za huyu Mpuuzi wenu Mandonga ambazo zake zimekaa Kikomediani zaidi.

Msije kusema sikuwaonyeni mapema.
Umesema kweli uliofichika
 
Kuna mmoja pale morocco hatukushuka tulitaka tugeuke nalo maana usafiri ulikuwa wa shida wengi walipandia mwanamboka na B ili wageuke.
baada ya kugoma kushuka akatuambia anatupeleka kariakoo badala ya kimara. Aisee tulidhani anatania bwana!
kwaiyo mkapelekwa kariakoo alaf mkakubali kushuka?
 
Back
Top Bottom