LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Tena kafara yenyewe sio kama hizi zenu za kiswahili ya kwenda kwa mganga akwambie umtoe ndugu yako kafara ukikubali ndugu yako anaumwa tumbo anakufa la hasha ila ni kafara kama ile ya kumtoa kondoo wa sadaka yani mtolewa kafara anachinjwa damu yake ina mwagwa kwenye madhabahu ya mganga husika " Ritual Killing"
Ilikuwa hivi dogo alienda kwa huyo mganga kumwambia anataka utajiri wa kafara, mganga akamuuliza yupo tayari kumtoa kafara mtu wake wa karibu dogo akasema hilo sio suala kabisa, then mganga akamwambia ni mtu wake yupi wa karibu ambae dogo yupo tayari kumtoa, dogo akajibu rafiki yake wa karibu, basi mganga akwamwambia kesho njoo nae ila ukiwa unakuja nae asijue anakuja kutolewa kafara utajua mwenyewe una mdanganya vipi hadi ufike nae hapa kilingeni.
Bahati nzuri ni kwamba huyo mganga ana hofu ya Mungu na utu ndani yake na hiyo kumwambia dogo amlete rafikiye kwa mganga lengo haswa lilikuwa kumuokoa mtolewa mtarajiwa na pia kumsaidia dogo mtoa kafara kuvungia hiyo mitikasi ya kafara. Mganga akafanya set up akaandaa polisi , waandishi na camera.
Hapo kwenye video Dogo mtoa kafara na mtolewa wapo kilingeni kwa mganga.
Mganga ana muuliza maswali ya kizushi dogo huyu ndio rafiki yako uliye mleta kwa ajili ya kumtoa kafara dogo anajibu ndio. Then anamuuliza upo tayari kumchinja wewe mwenyewe dogo anajibu ndio nipo tayari. Wakati akijibu maswali hayo, dogo mtolewa mtarajiwa anashindwa kuamini anacho kiona kama ni kweli au anaota, akimsihi rafiki yake asimfanyie hivyo na kumwambia mganga kwamba yeye kwao ni mtoto pekee katika familia kwa hiyo wasimuue.
Dogo anaulizwa ukipata pesa yapo utafanya nini, dogo anajibu atanunua Bmw, Royce Locye na kujenga nyumba kali na kuwa na wanawake wengi wazuri.
Thanks God baadae mganga alimuhandle dogo mtoa kafara wannabe kwa vyombo vya usalama ili apate ushauri nasaha kuhusu upuuzi anaotaka kuufanya na dogo mtolewa mtarajiwa ku regain his freedom.
# huyo dogo aliye taka kutolewa ataishi na tatizo labTrust Issue maisha yake yote sidhani kama atakuja kumuamini tena binadamu yoyote maishani..
Ilikuwa hivi dogo alienda kwa huyo mganga kumwambia anataka utajiri wa kafara, mganga akamuuliza yupo tayari kumtoa kafara mtu wake wa karibu dogo akasema hilo sio suala kabisa, then mganga akamwambia ni mtu wake yupi wa karibu ambae dogo yupo tayari kumtoa, dogo akajibu rafiki yake wa karibu, basi mganga akwamwambia kesho njoo nae ila ukiwa unakuja nae asijue anakuja kutolewa kafara utajua mwenyewe una mdanganya vipi hadi ufike nae hapa kilingeni.
Bahati nzuri ni kwamba huyo mganga ana hofu ya Mungu na utu ndani yake na hiyo kumwambia dogo amlete rafikiye kwa mganga lengo haswa lilikuwa kumuokoa mtolewa mtarajiwa na pia kumsaidia dogo mtoa kafara kuvungia hiyo mitikasi ya kafara. Mganga akafanya set up akaandaa polisi , waandishi na camera.
Hapo kwenye video Dogo mtoa kafara na mtolewa wapo kilingeni kwa mganga.
Mganga ana muuliza maswali ya kizushi dogo huyu ndio rafiki yako uliye mleta kwa ajili ya kumtoa kafara dogo anajibu ndio. Then anamuuliza upo tayari kumchinja wewe mwenyewe dogo anajibu ndio nipo tayari. Wakati akijibu maswali hayo, dogo mtolewa mtarajiwa anashindwa kuamini anacho kiona kama ni kweli au anaota, akimsihi rafiki yake asimfanyie hivyo na kumwambia mganga kwamba yeye kwao ni mtoto pekee katika familia kwa hiyo wasimuue.
Dogo anaulizwa ukipata pesa yapo utafanya nini, dogo anajibu atanunua Bmw, Royce Locye na kujenga nyumba kali na kuwa na wanawake wengi wazuri.
Thanks God baadae mganga alimuhandle dogo mtoa kafara wannabe kwa vyombo vya usalama ili apate ushauri nasaha kuhusu upuuzi anaotaka kuufanya na dogo mtolewa mtarajiwa ku regain his freedom.
# huyo dogo aliye taka kutolewa ataishi na tatizo labTrust Issue maisha yake yote sidhani kama atakuja kumuamini tena binadamu yoyote maishani..