Video: Dotto Magari bila ya kujijua amemkosea Tajiri yake Manara

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
Wakati akimuongelea Baba Levo kuhusu kupigwa na Harmonize, Dotto Magari akapitiliza na kusema kuwa Baba Levo hana maisha na anaishi kwenye Apartment ya kupanga ghorofani.

Dotto ameyasema hayo bila ya kukumbuka kuwa Tajiri yake Haji Manara nayeye anaishi kama Baba Levo.

ANGALIA VIDEO HAPA
Your browser is not able to display this video.
 
Huyo tajiri yake na huyu mwehuwote wapumbavu tu
 
Huyu ndiye nani? Au ndiyo baba levo?
 
Uyo doto magari. Ndo yule tajiri mkubwa wa magari dsm?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…