Kufuatilia maisha ya watu ndio usasa?Mkuu wewe ni mshamba?
Huyu ndiye nani? Au ndiyo baba levo?Wakati akimuongelea Baba Levo kuhusu kupigwa na Harmonize, Dotto Magari akapitiliza na kusema kuwa Baba Levo hana maisha na anaishi kwenye Apartment ya kupanga ghorofani.
Dotto ameyasema hayo bila ya kukumbuka kuwa Tajiri yake Haji Manara nayeye anaishi kama Baba Levo.
ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2902689
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Tz n chanel ya vichekesho uku Dunia mkuuuDunia nzima kuna influencer .. Tanzania kuna infolensa[emoji23]
Hakikaaa Kila cku zinavyosogeaa inakuwa ya new generation mkuu hvyo wanawekaa mambo wanayoishi nayo Kwa wakati huu ndio km hayo ya baba levo,kesho utaletewa daimond uku kagombana cjui na zuchu yaaan n vurugu cku hzii ...Kidogo kidogo naona jamii forums inaelekea kuwa facebook.
[emoji23][emoji23][emoji23]Dunia nzima kuna influencer .. Tanzania kuna infolensa[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kidogo kidogo naona jamii forums inaelekea kuwa facebook.