Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maigizo og yalikuwa enzi za awamu yako pendwa.Maigizo FC
Usaliti ni laanaMasikini Katambi ndo kwishnei
Yupi njia panda, anafikiria aende ACT au MCCMbona simuoni halima mdee hapo.
Acha ukabila mkuu. Hautakusaidia.Huu utapeli na wizi wa Mbowe ataacha lini yaani amtukane shujaaa wa Watanzania na ambaye ni msukuma ili yy mchaga apate umaarufu ukweli ni kwamba sisi wasukuma hatutaki wachaga matapeli kama Mbowe tutamalizana naye asituchezee huyu nyoka wa makengeza
Huyo kapuku acha nayeAcha ukabila mkuu. Hautakusaidia.
Tunawashukuru sana wana ShinyangaTuleho kukaya sana Kamanda Mbowe bhebhe Nzagamba ya Shimba wa bhejana ....
Ikumbukwe kwamba Leo Mh Mbowe ataongoza kikao cha Kamati ya utendaji ya Kanda ya Serengeti Mjini Shinyanga , Hivi ni vikao vinavyoendelea vya OPERESHENI HAKI vyenye lengo la kudai Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi .
Sasa mapokezi yake ndio kama mnavyoona , siongezi chumvi
View attachment 1801399
Nusu ya kwanza ya jina lako imekufa ikaacha CHADEMA kama ilivyo ikuta!!Yaani Mwenyekiti anapokelewa na watu kiduchu hivyo!!? Kweli Saccos imeshakufa hii.
Ikumbukwe kwamba Leo Mh Mbowe ataongoza kikao cha Kamati ya utendaji ya Kanda ya Serengeti Mjini Shinyanga , Hivi ni vikao vinavyoendelea vya OPERESHENI HAKI vyenye lengo la kudai Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi .
Sasa mapokezi yake ndio kama mnavyoona , siongezi chumvi
View attachment 1801399
master wa maigizo kashapotea milele na milele alijifanya mwamba. Miamba imebakiMaigizo FC
Hakika !wao wenyewe wanaipenda chadema sema basi tu.
Ohoooooo!!!
Kwa karne hii ya 21,Ukiacha Nyerere,sokoine,kwa miaka zaidi ya 25,Mbowe ni mwanasiasa bora kuwahi kutokea hapa TZ,ni mtu mwenye ukomavu sana,kwa misuko suko yote aliyopitia,jamaa bado yupo ngangari.Ikumbukwe kwamba Leo Mh Mbowe ataongoza kikao cha Kamati ya utendaji ya Kanda ya Serengeti Mjini Shinyanga , Hivi ni vikao vinavyoendelea vya OPERESHENI HAKI vyenye lengo la kudai Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi .
Sasa mapokezi yake ndio kama mnavyoona , siongezi chumvi
View attachment 1801399