Traffic JF
Senior Member
- Jul 5, 2020
- 136
- 22
2020 tunaitaji viongozi matapeliGwaji boy ni tapeli tu, usitilie maanani saana kwa ayanenayo popote awapo iwe madhahabuni au kitaa!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2020 tunaitaji viongozi matapeliGwaji boy ni tapeli tu, usitilie maanani saana kwa ayanenayo popote awapo iwe madhahabuni au kitaa!.
😆😆😆😆Mwanaharakati wa UNO FC.
Joined 6 julyHaya ni mawazo mgando kudhani mchungaji kuingia kwenye siasa ni kutafuta ulaji. Tunahitaji watu potential kwenye siasa za nchi bila kujali dini zao, makabila yao etc
Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
joined 5 July2020 tunaitaji viongozi matapeli
Joined 1st JulyAhhh naona MWAKIPESILE unajitahidi kwa Nguvu zote Kama KADA KWA AJILI YA KUPOTOSHA WATU # KUWA WAKUSIKILIZEE
#HUO NI UCHAWIII
Kuna tatizo?joined 5 July
Una kelekwa?Joined 6 july
Soon ata kuwa Eva na AdamWaingereza wanasema, "Never say never".
Nawe jiunge BasiJoined 1st July
Unajuaje Kama ajawasaidia ? Acha mlopoko wewe utamegwNdivyo mnavyodanganyana watu wanaendelea kupukutika endeleeni kuficha kichwa mchangani , kama anataka kusaidia kawe kwa wingi wa sadaka si aanze hivi sasa anasubiri mpaka aingie uwanja wa. Fisi ??
Hiyo ni dalili ya kuishiwa poziJoined 6 july
Internet never forgivekukumbushana ni wajibu wetu
Haimaanishi mganga... bali watumiao fursa "kuganga njaa zao!" Hata wakafikia kusema "...kuwa lofa ni ufala!!:Ulishawai kuona mganga analalamika njaaa ! Wakati nyama anapelekew kila leo
Huyo kapuku atakupotezea muda , hana lolote !Haimaanishi mganga... bali watumiao fursa "kuganga njaa zao!" Hata wakafikia kusema "...kuwa lofa ni ufala!!:
Unajuaje Kama ajawasaidia ? Acha mlopoko wewe utamegw
Chadema kwa huyu mnaingia cha kike, nimewahi kusema na narudia, hali yenu sasa na mlikotoka pengine hamjielewi. Mna makando mengi na kuchokonoa watu aina ya Gwajima mtakuja kutafutana humu. Kaeni kimya ili mtunze silaha zenu na kuzitumia wakati muafaka.