Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Jamaa ana hali mbaya sana. Akitafuta kukubalika kwa kila namna. Ana wakati mgumu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Total trophies mnazo ngapi mzee?Kwa sasa kila mwanasimba ni msemaji wa Simba.Manara mmoja anasumbua wasemaji zaidi ya 6M hahaha
Akikujibu nitag...🤣🤣🤣🤣🤣🤣Total trophies mnazo ngapi mzee?
Sitaki mnilishe maneno!!!..😂😂😂Akikujibu nitag...🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sawa tunaondoa Mtani jembe.. 51-2 ngapi chief!? Sema 49,haya 49 na 48 ipi kubwa sema 49, jibu unalo. [emoji23]Mtani jembe awaitaki, wanasema iondolewe hapo, wamegoma kabisa kabisa.
Pamoja na namba kupungua lakini bado tabu iko palepale.Sawa tunaondoa Mtani jembe.. 51-2 ngapi chief!? Sema 49,haya 49 na 48 ipi kubwa sema 49, jibu unalo. [emoji23]
Sio Kweli. Yanga Kuna Kijiji cha Wasemaji Kuna Bimbuli, Manara. Simba Yupo Ezekiel tu mbele Ya Kamera kama Msemaji.Kwa sasa kila mwanasimba ni msemaji wa Simba.Manara mmoja anasumbua wasemaji zaidi ya 6M hahaha
Wasemaji wa Simba hawahesabiki yaanSio Kweli. Yanga Kuna Kijiji cha Wasemaji Kuna Bimbuli, Manara. Simba Yupo Ezekiel tu mbele Ya Kamera kama Msemaji.
Sio wanakubali ila wanawaza wakimpinga wanarudi kwenye kupitisha bakuliHaji anawachukulia poa sana wana Yanga nao kama wamerogwa wanamkubalia kila upumbavu wakeView attachment 1929887