SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
Shida mmeshikiwa akili. Mnapelekwa kama Nyumbu.Total trophies mnazo ngapi mzee?
Mimi nimejibu.Akikujibu nitag...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Shida mmeshikiwa akili. Mnapelekwa kama Nyumbu.
Kwenye list yenu mnaweka mabonanza ya mtani jembe. Are you serious? Mtani Jembe ni trophy???
Na hiyo ya FA kuweka Yanga kashinda kombe moja are you serious? Toka FA ilipoanza mwaka 74, Yanga kabeba mara moja? Mwaka 1975 alibeba nani? 1994? 1999? 2015?
Pathetic.
View attachment 1930526
Unaongea kitu usichokuwa na taarifa nacho. Unadhani kila mtu ni mbuzi tu wa kulishwa bila kuuliza, ewe kolo? Unakwapua tu kitu mtandaoni na kushikia bango huku ukiambiwa u-prove huwezi. Ingia official websites za timu husika, wameweka honors, tazama then leta hizo pumba zako mnazolishana kwenye vijiwe mnavyofanana akiliHahah utopolo kashashikwa wowowo kaja na takwimu zake toka kwa manara.
tuna count makombe yanayotambulica CAF basTotal trophies mnazo ngapi mzee?
Alisikika manara akiongea kwa sauti wkt akinywa gongo.tuna count makombe yanayotambulica CAF bas
πππ Naona manara kawashika wezere ipasavyo Sasa ndio mnakumbuka Kuna ku visit official websites za timu husika,shubamiiiiiit.Unaongea kitu usichokuwa na taarifa nacho. Unadhani kila mtu ni mbuzi tu wa kulishwa bila kuuliza, ewe kolo? Unakwapua tu kitu mtandaoni na kushikia bango huku ukiambiwa u-prove huwezi. Ingia official websites za timu husika, wameweka honors, tazama then leta hizo pumba zako mnazolishana kwenye vijiwe mnavyofanana akili