Video: Hali ya maisha kwa watu weusi yazidi kuwa mbaya USA

Video: Hali ya maisha kwa watu weusi yazidi kuwa mbaya USA

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Kwa kawaida watu wengi wasio na makazi nchini USA ni wale wa asili ya Afrika, sasa najiuliza, kundi hili tu ndio wavivu wa kufanya kazi? Kundi hili tu ndio wahanga wa madawa ya kulevya? Au ni tatizo la kimfumo zaidi?

Lakini pia, kwenye video hapo chini, kwa siku za hivi karibuni, na wale wa asili za kizungu na asia pia wamekuwa wengi zaidi, au ni uchumi tu umekuwa mgumu? Maana wanakuwa wengi kuliko hawa weusi sasa.

 
We ndio umeziona leo, toka ujazaliwa watu USA wanalala nje.

Ukimaliza hiyo angalia hii
I make 20usd/hour and I'm still homeless
 
Hao wanatengeneza pesa nyingi tu amejiwekea time frame ndio atatafuta apartment
Lifestyle ya huko ni tofauti kabisa na hapa bongolala, ombaomba wa majuu unaweza kuta anamiliki hadi gari ya kutembelea.

Hata nchi za ulaya ambako weusi ni wachache bado utawakuta hao hao weupe kwenye baadhi ya mitaa wanaomba, kwa hiyo siyo kweli kwamba ombaomba weupe hawakuwahi kuwepo, kwamba wameibuka hivi majuzi.​
 
Back
Top Bottom