FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kwa kawaida watu wengi wasio na makazi nchini USA ni wale wa asili ya Afrika, sasa najiuliza, kundi hili tu ndio wavivu wa kufanya kazi? Kundi hili tu ndio wahanga wa madawa ya kulevya? Au ni tatizo la kimfumo zaidi?
Lakini pia, kwenye video hapo chini, kwa siku za hivi karibuni, na wale wa asili za kizungu na asia pia wamekuwa wengi zaidi, au ni uchumi tu umekuwa mgumu? Maana wanakuwa wengi kuliko hawa weusi sasa.
Lakini pia, kwenye video hapo chini, kwa siku za hivi karibuni, na wale wa asili za kizungu na asia pia wamekuwa wengi zaidi, au ni uchumi tu umekuwa mgumu? Maana wanakuwa wengi kuliko hawa weusi sasa.