Video: Hawa wanafanya nini uwanjani?

jionee mwenyewe
Msi beep mtapigiwa, Mtaletewa picha ambazo ndaniyake wakionekana Viongozi wajuu wa Simba wakishiriki vitendo vinavyo onekana vya kishirikina vikiwahusisha Kaduguda na Magori, Msifikiri Simba mnayo yafanya kwenye vyumba vya kubadilishia nguo watu awayafahamu ila tunalinda heshma za familia zao.
 
😆😆😆😆
 
Leta mambo tuyaone
 
Ndugu wadau kwa moyo wa Mapenzi na nchi yangu, nashauri hao wachezaji wanao-wakilisha taifa wasitoke hotelini leo.

Hapa Villa Park kuna watoto wakali sana wa promotion ya castle lite na wengine kibao. Taifa litapoteza mechi kizembe.

Ni hayo tu.
 
hoja ya kishamba,kujadiri ni kupoteza muda hao wasauzi na yanga wap? na wap? video ya zamani sana iyo ndo unaipata leo

cha kufurahisha kuna mazuzu wameamini ni yanga
 
hoja ya kishamba,kujadiri ni kupoteza muda hao wasauzi na yanga wap? na wap? video ya zamani sana iyo ndo unaipata leo

cha kufurahisha kuna mazuzu wameamini ni yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…