The Palm Beach
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 1,967
- 4,267
Courtesy: SK Media Online TV
Saga la Tundu Lissu kutangaza nia kugombea nafasi ya uenyekiti CHADEMA (T) ili kumrithi mwenyekiti wa sasa Mh. Freeman Mbowe linaendelea kuzua mjadala ndani na nje ya nchi yetu...
Katika video hii, utatazama na kusikiliza uchambuzi murua wa kasoro za mkutano wa Tundu Lissu (Press Conference) aliyoifanya mbele ya wanachama wenzake wa CHADEMA pamoja na waandishi wa habari wa vyombo vya habari mbalimbali vya ndani na vya kimataifa tarehe 13/12/2024 unaofanywa kwa njia ya video na mwandishi wa habari za kiuchunguzi Ndugu Ansbert Ngurumo anayeishi uhamishoni nchini Uingereza....
Tafadhali weka MB kidogo kwenye simu au computer yako kisha tazama video hii mwanzo mwisho...