PamojaNdio maana maisha yangu ni ya hovyo sana kimtazamo utanikuta nipo na nyagi stori zangu ni mambo ya pombe na mademu tu mpaka watu wanafikir sina future ila nyuma ya hayo Nina target zangu na malengo yangu na ndio maana nafanya ni siri yangu
Baada ya kucheki video nimekuelewa!Sema huna bando. Ungekuwa na bando ungeona video
Huyu jamaa moja kati ya vichaa wachache wanaoperuzi hapa Jf , pongezi nyingi kwa madaktari wetu milembe kwa hakika wamefanya kubwa sana.Naona dishi halitazamani na satellite
Ur the true son of ur father. Kuna watu wana jiita ma GT halafu wanashindwa kuelewa suala dogo kama hili..Jamaa anamaanisha usidanganywe na status iliyoweka.
Mtu anaweza kuwa yuko zake Chanika, ila Status akasema anafly to dizonga.
Halafu wew kwa ujinga na wivu wako ukaenda kwa mganga.
Bado sijaangalia video.