Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Ni kawaida kunapotokea epidemics or pandemic, any demise by any causes inakuwa handed with maximum medical precautions.Wadau,kuna video inasambaa huko mitandaoni ikionyesha wahudumu wa afya katika mtaa unaotajwa ni mtaa wa Nkuruma street katika ya jiji asubuhi hii wakitoa kinachoonekana ni mwili wa mtu huku wakiwa wamevaa gloves na mavazi maalumu ya kuwakinga na maambukizi.
Swali:kuna nini kimetokea kwa anaejua?
Wahusika tunaomba ufafanuzi.
Video hii hapa:
DuhWapi proof kwamba hapo ni Bongo?
Si utazame ujiridhishe?Muwe na uhakika na video mnazotuma, uzushi sio mzuri
Serikali iweke wazi ili jambo tutaisha
Mbona kitambo sanaNaona hii Kigogo@2014 hajaipata
Umekatazwa kujilock down?Yeye yuko zake lockdown huko chato wengine pigeni kazi![emoji2211][emoji2211][emoji2211]
Kwani Salary slip kaitoa wapi?Naona hii Kigogo@2014 hajaipata
Acha uoga pascal tema nyongo.Ni kawaida kunapotokea epidemics or pandemic, any demise by any causes inakuwa handed with maximum medical precautions.
P
Kwa akili yako hapo kuna ushahidi wowote kwamba ni dar? Na sio Congo au kwingineko?Ulitaka niseme nini cha zaidi?
Hata hiyo video nimeiondoa kwasababu ya sheria za JamiiForums kutoruhusu hotlinking.
We mwenyewe hapo tukuulize kwanini unatumia fake ID?
johnthebaptist ingelijua maiti zingeliokotwa milions beachUnadhani serikali haitujui kisa fake id?
kutulia kwa vipi? sijaona twita sasa nisemejeKwani Salary slip kaitoa wapi?
Uwe unatulia bwashee!
Unafikiri nilivyoandika "inadaiwa" nilikuwa mjinga?Kwa akili yako hapo kuna ushahidi wowote kwamba ni dar? Na sio Congo au kwingineko?
Je na hao watu walialikwa kuja kushuhudia mtu aliekufa kwa corona?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mwingine amekufa huko Korogwe, umemskia? Nilisoma kwa kigogo na kweli kazikwa na serikaliKwani Salary slip kaitoa wapi?
Uwe unatulia bwashee!