Video: Hii ndiyo hotuba ya M/kiti - CHADEMA Freeman Mbowe akiongea kwa hasira kwenye mazishi ya msiba wa Mzee Ally Mohamed Kibao, Tanga

Video: Hii ndiyo hotuba ya M/kiti - CHADEMA Freeman Mbowe akiongea kwa hasira kwenye mazishi ya msiba wa Mzee Ally Mohamed Kibao, Tanga

The Palm Beach

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2015
Posts
1,967
Reaction score
4,267
Sijui Mch. Peter Msigwa anaweza kuwa na maoni gani akimwona mwamba Freeman Mbowe hasimu wake akiwa katika ubora wake kama hivi

Hii ilikuwa ni baada ya kuwa tukio la kuzomewa kwa Waziri Hamad Masauni na kushindwa kutoa hotuba yake kutokea na Freeman Mbowe kutuliza waombolezaji na baadaye alimsihi waziri aende akashike mic kumalizia hotuba yake. Hilo lilifanyika na waombelezaji kutii.

What amazing leadership from Mr. Freeman Mbowe.



Kama Mch. Peter Msigwa una chuki na mzee Freeman Mbowe kwa sababu ya charismatic character yake na uwezo wake wa kiuongozi, basi Mungu akurehemu tu...

Lakini whether we like it or not, Freeman Mbowe ni kiongozi makini na thabiti.

PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
 
Ateke yeye na afoke yeye what the hell

USSR
Suluhu ni moja tu :

Rais Samia Suluhu Hassan atumie mamlaka yake ya kikatiba kwa kuunda Tume huru ya Kijaji isiyohusisha polisi wala TISS ili ukweli wa mambo haya ujulikane na kila mtu mwenye ushahidi wa wahusika apeleke ushahidi wake huko ukiwemo wewe USSR upeleke wako dhidi ya yeyote unayejua anahusika akiwemo Mbowe....

Mnaogopa nini kuchukua hatua hii...?

Please bwana, hebu serikali na CCM acheni woga, unafiki na udanganyifu wenu wakati mnawajua wahusika (ambao ni magenge yenu) ya mauaji haya....!!
 
Msigwa apewe cheo haraka, vinginevyo atavua nguo hadharani muda si mrefu. Maana njaa inashambulia vibaya ubongo wake
 
IMG-20240910-WA0027.jpg
 
Maiki za wahandishi wetu wahovyo ziko kwenye vitu vya huzuni na kughazabisha tu mengine huwaoni mat****ko yao.
 
Back
Top Bottom