The Palm Beach
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 1,967
- 4,267
Sijui Mch. Peter Msigwa anaweza kuwa na maoni gani akimwona mwamba Freeman Mbowe hasimu wake akiwa katika ubora wake kama hivi
Hii ilikuwa ni baada ya kuwa tukio la kuzomewa kwa Waziri Hamad Masauni na kushindwa kutoa hotuba yake kutokea na Freeman Mbowe kutuliza waombolezaji na baadaye alimsihi waziri aende akashike mic kumalizia hotuba yake. Hilo lilifanyika na waombelezaji kutii.
What amazing leadership from Mr. Freeman Mbowe.
Kama Mch. Peter Msigwa una chuki na mzee Freeman Mbowe kwa sababu ya charismatic character yake na uwezo wake wa kiuongozi, basi Mungu akurehemu tu...
Lakini whether we like it or not, Freeman Mbowe ni kiongozi makini na thabiti.
PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Hii ilikuwa ni baada ya kuwa tukio la kuzomewa kwa Waziri Hamad Masauni na kushindwa kutoa hotuba yake kutokea na Freeman Mbowe kutuliza waombolezaji na baadaye alimsihi waziri aende akashike mic kumalizia hotuba yake. Hilo lilifanyika na waombelezaji kutii.
What amazing leadership from Mr. Freeman Mbowe.
Kama Mch. Peter Msigwa una chuki na mzee Freeman Mbowe kwa sababu ya charismatic character yake na uwezo wake wa kiuongozi, basi Mungu akurehemu tu...
Lakini whether we like it or not, Freeman Mbowe ni kiongozi makini na thabiti.
PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana