Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Kwa hapa Tanzania bado tunapima JOTO
Unaweza kuona namna hali isivyo shwari.
Dunia imefikia hapa kwa kutokuwa serious kwetu kuhusu COVID-19 tang mwanzo.
Kutokea Januari 1 mpaka sasa zaidi ya wasafiri milioni 1.8 wamefanyiwa ukaguzi kwa kupimwa joto la mwili katika vituo vya mipaka 27 ikiwemo viwanja vya ndege na bandari. BBC
Unaweza kuona namna hali isivyo shwari.
Dunia imefikia hapa kwa kutokuwa serious kwetu kuhusu COVID-19 tang mwanzo.